Aliye Rebrand TigoPesa kuitwa Mixx by Yas afukuzwe kazi

Aliye Rebrand TigoPesa kuitwa Mixx by Yas afukuzwe kazi

TheGreatGenius

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2011
Posts
260
Reaction score
726
Inaonyesha kabisa hii marketing team ya mwekezaji mpya haipo serious.

Mixx by Yas ndo huduma gani? Haireflect chochote kinachohusiana na huduma za kifedha. Jina limekaa kama DJ wa vigodoro.

Hata Focus group walishindwa kufanya kabla ya kuweka hilo jina? Yani kutoka syllables nne — ti-go-pe-sa” kwenda syllable sita “Mi-xx-ba-i-ya-s”

Huyu mwekezaji atafute watu wengine wa marketing, hilo sio jina bibi kizee wa kijijini anaweza kutamka, abadili jina kabla hajaua brand nzima kwenye soko kwa sababu za kipuuzi kama hizi
 
Aaah we fanya miamala,maisha yaendelee tu,hata wakikosolewa ndiyo waneamua hivyo..... maamuzi kama haya lazima yamefanywa na top management na so lazima wanasababu zao
 
Mwenye kampuni yake kaamua, ndugu mteja una option ya kunitumia hiyo huduma, uende kwa mtoa huduma mwenye jina la bidhaa unalolipenda.
 
Hiyo ni brand ya kampuni kaka, mtazamo wako ni wakitanzania zaidi.
Hiyo kampuni ni kubwa na hilo jina halitumiki Tanzania pekee, bali kote wanako"operate". Utakuta halijaanzia hapa, hapa limeletwa na kampuni husika tu.
 
Inaonyesha kabisa hii marketing team ya mwekezaji mpya haipo serious.

Mixx by Yas ndo huduma gani? Haireflect chochote kinachohusiana na huduma za kifedha. Jina limekaa kama DJ wa vigodoro.

Hata Focus group walishindwa kufanya kabla ya kuweka hilo jina? Yani kutoka syllables nne — ti-go-pe-sa” kwenda syllable sita “Mi-xx-ba-i-ya-s”

Huyu mwekezaji atafute watu wengine wa marketing, hilo sio jina bibi kizee wa kijijini anaweza kutamka, abadili jini kabla hajaua brand nzima kwenye soko kwa sababu za kipuuzi kama hizi
BORA WANGEIITA "PESA YAO"
 
Nje ya mada ile kesi ya Lisu na Tigo imeanza kusikilizwa au bado?
Hawa wahuni wanaweza wakamlipa fidia kmya kmya
 
Hiyo ni brand ya kampuni kaka, mtazamo wako ni wakitanzania zaidi.
Hiyo kampuni ni kubwa na hilo jina halitumiki Tanzania pekee, bali kote wanako"operate". Utakuta halijaanzia hapa, hapa limeletwa na kampuni husika tu.
Uzi ufungiwe hapa
 
Inaonyesha kabisa hii marketing team ya mwekezaji mpya haipo serious.

Mixx by Yas ndo huduma gani? Haireflect chochote kinachohusiana na huduma za kifedha. Jina limekaa kama DJ wa vigodoro.

Hata Focus group walishindwa kufanya kabla ya kuweka hilo jina? Yani kutoka syllables nne — ti-go-pe-sa” kwenda syllable sita “Mi-xx-ba-i-ya-s”

Huyu mwekezaji atafute watu wengine wa marketing, hilo sio jina bibi kizee wa kijijini anaweza kutamka, abadili jini kabla hajaua brand nzima kwenye soko kwa sababu za kipuuzi kama hizi
Hata wakibadili jina bado lile 'tundu la huzuni' tutalipachika jina hili jipya, yaani 'YAS'
 
Inaonyesha kabisa hii marketing team ya mwekezaji mpya haipo serious.

Mixx by Yas ndo huduma gani? Haireflect chochote kinachohusiana na huduma za kifedha. Jina limekaa kama DJ wa vigodoro.

Hata Focus group walishindwa kufanya kabla ya kuweka hilo jina? Yani kutoka syllables nne — ti-go-pe-sa” kwenda syllable sita “Mi-xx-ba-i-ya-s”

Huyu mwekezaji atafute watu wengine wa marketing, hilo sio jina bibi kizee wa kijijini anaweza kutamka, abadili jini kabla hajaua brand nzima kwenye soko kwa sababu za kipuuzi kama hizi
Naunga mkono hoja
 
Ni sawa na Elon musk alivonunua Twitter na kuiita X. Zamani ilikua ukisema mtu flani ame "tweet" moja kwa moja watu wanajua unazungumzia Twitter ila saivi zinaitwa "post" sio tweet kwaio inabidi utoe maelezo mtu amepost wapi. Facebook, Instagram, Whatsapp X wote wanatumia neno "post". Brand recognition ni muhim sana kwenye biashara. Mwekezaji mpya nafkiri washauri wake hawakumwambia jinsi tigopesa ilivokua na brand kubwa Tanzania
 
Back
Top Bottom