Aliye Rebrand TigoPesa kuitwa Mixx by Yas afukuzwe kazi

Aliye Rebrand TigoPesa kuitwa Mixx by Yas afukuzwe kazi

Ni sawa na Elon musk alivonunua Twitter na kuiita X. Zamani ilikua ukisema mtu flani ame "tweet" moja kwa moja watu wanajua unazungumzia Twitter ila saivi zinaitwa "post" sio tweet kwaio inabidi utoe maelezo mtu amepost wapi. Facebook, Instagram, Whatsapp X wote wanatumia neno "post". Brand recognition ni muhim sana kwenye biashara. Mwekezaji mpya nafkiri washauri wake hawakumwambia jinsi tigopesa ilivokua na brand kubwa Tanzania
Mfano mwingine ni kampuni ya mafuta ya shell. Jamaa walikua na jina kubwa kiasi kwamba mpaka Leo hii watanzania vituo vya mafuta vyote wanaviita shell. Ukishakua na brand kama hiyo biashara yako inajitangaza yenyewe.
 
Wabongo wameshazoea kuita "TIGO PESA"

Kubadili jina (Branding name) Wala hakuta wafanya wabongo waache Kuita "TIGO" au "TIGO PESA"

Mbongo hatoweza kusema "Nitumie hii Hela kwenye Mixx by Yas" Bali wataendelea kusema "Nitumie hii Hela kwenye TIGO PESA"

Kama ilivyokuwa Kwa SHELI (Vituo vya Mafuta )ndivyo itakavyokuwa Kwa TIGO!

Vituo sikuhizi vina Majina yake lakini wabongo walishazoea kuita SHELI,hivyo ndivyo itakavyokuwa Kwa TIGO
 
Inaonyesha kabisa hii marketing team ya mwekezaji mpya haipo serious.

Mixx by Yas ndo huduma gani? Haireflect chochote kinachohusiana na huduma za kifedha. Jina limekaa kama DJ wa vigodoro.

Hata Focus group walishindwa kufanya kabla ya kuweka hilo jina? Yani kutoka syllables nne — ti-go-pe-sa” kwenda syllable sita “Mi-xx-ba-i-ya-s”

Huyu mwekezaji atafute watu wengine wa marketing, hilo sio jina bibi kizee wa kijijini anaweza kutamka, abadili jina kabla hajaua brand nzima kwenye soko kwa sababu za kipuuzi kama hizi
Wapumbavu hata kubuni jina zuri wanashindwa
 
Mfano mwingine ni kampuni ya mafuta ya shell. Jamaa walikua na jina kubwa kiasi kwamba mpaka Leo hii watanzania vituo vya mafuta vyote wanaviita shell. Ukishakua na brand kama hiyo biashara yako inajitangaza yenyewe.
Sasa hvi yupo wapi ..
Kama biashara inajitangaza yenyewe mkuu
 
Mkuu mahangaiko yote haya ya nini, kwa nini usianzishe mtandao wako ukaita jina ulipendalo?

Mtu kajichanga kanunua limtandao lake unachukia jina analolipa!
 
Nje ya mada ile kesi ya Lisu na Tigo imeanza kusikilizwa au bado?
Hawa wahuni wanaweza wakamlipa fidia kmya kmya
"Nje Ya Mada Pia"Tukwisha Malizana Nae Kitambo Tu,Na Nafikiri Ndio Anazotumia Kuandaa Mikutano Yake Ya Kugombea Uenyekiti Wa Taifa Wa Chama Chao
 
Mkuu mahangaiko yote haya ya nini, kwa nini usianzishe mtandao wako ukaita jina ulipendalo?

Mtu kajichanga kanunua limtandao lake unachukia jina analolipa!
Shida ni kwamba huu si mtandao mpya, ni mtandao wenye pre existing user base uliouzwa, angekuwa hana users basi waliojiunga ndo wameridhia lakini kwa hili wamefeli.

Ni sawa na hapo unapoishi wakabadilisha jina na kuita jina la ajabu. Ingekuwa mtaa mpya haina shida lakini kama una wakazi tayari wameshaharibu attitude za watu
 
Inaonyesha kabisa hii marketing team ya mwekezaji mpya haipo serious.

Mixx by Yas ndo huduma gani? Haireflect chochote kinachohusiana na huduma za kifedha. Jina limekaa kama DJ wa vigodoro.

Hata Focus group walishindwa kufanya kabla ya kuweka hilo jina? Yani kutoka syllables nne — ti-go-pe-sa” kwenda syllable sita “Mi-xx-ba-i-ya-s”

Huyu mwekezaji atafute watu wengine wa marketing, hilo sio jina bibi kizee wa kijijini anaweza kutamka, abadili jina kabla hajaua brand nzima kwenye soko kwa sababu za kipuuzi kama hizi
Je, katika mabadiliko ya jina la Tigo kwenda Mixx by Yas! haijaathiri mikataba ya wafanyakazi kwa mfano
1. Kupunguzwa wasiokuwa na taaluma yenye kiwango fulani na kuajiri wanaoendana na teknolojia kwa jina la biashara jipya?
2. Kubadilishwa maudhui na jina la kampuni kwenye mkataba wa mfanyakazi?
3. Kuongezwa au kubadilishwa maudhui ya JD kuendana na mabadiliko ya soko la ushindani kibiashara hivyo kuathiri mapatano ya mwanzo na mwajiri aliyejulikana kama Tigo?
4. Mktaba wa kazi ni mali ya mfanyakazi sio mwajiri baada ya kusainiwa inakuwaje jina likibadilishwa na jina la mwajiri kwenye mktaba halijabadilishwa utamshitaki nani endapo utaibuka mgogoro?
5. Wafanyakazi wamelipwa nini kuondoa usumbufu wa kupewa jina la kampuni ambayo haikukuajiri mwanzo?
6. Nini faida na hasara kwa mfanyakazi inapotokea kampuni inabadilisha jina bila kuwasiliana naye, ikitoa sababu za kufanya hivyo na kuruhusu mfanyakazi kuhoji kuhusiana na maslahi yake ya ajira ya nyuma na kuendelea au kutoendelea kuwa mtumishi wao?

@Wanasheria wabobevu katika sheria za kazi na mahusiano kazini kwa kuwianisha na sheria za kuhaurisha (transfer of contract), sheria za makampuni (company laws), sheria za ufilisi

Scenario 1

"Transfer of contract" is legally referred to as an "assignment" and involves one party (the assignor) transferring their rights and obligations under a contract to another party (the assignee), usually requiring the consent of all parties involved and often formalized through a written notice of assignment; the most common method for transferring contractual rights is through "novation," where a new contract completely replaces the old one with the new party assuming all responsibilities.
KEY POINTS ABOUT CONTRACT TRANSFER IN TANZANIA:
  • Assignment:
    This is the most common method where only the benefits of a contract are transferred to a new party, while the original party remains liable for any obligations not fulfilled by the assignee.
  • Novation:
    This method completely replaces the original contract with a new one involving the new party, effectively releasing the original party from all liabilities.
  • Consent required:
    In most cases, all parties involved in a contract must agree to any transfer of rights or obligations.
  • Written notice:
    When assigning a contract, the assignor usually needs to provide written notice to the other party informing them of the transfer.
Factors to consider when transferring a contract in Tanzania:
  • Contract terms:
    Check if the existing contract explicitly allows for assignment or novation and outlines any specific requirements for such transfers.
  • Nature of the contract:
    Some contracts, like employment contracts, may have specific regulations regarding transfers due to potential implications for employee rights.
  • Legal advice:
    Consult with a lawyer in Tanzania to ensure that the transfer process is done correctly and complies with all relevant laws.

    Scenario 2
Acquisition and merger laws in Tanzania are [SIZE=4]primarily governed by the Fair Competition Act[/SIZE]which mandates notifying the Fair Competition Commission (FCC) before proceeding with a merger or acquisition if the combined market share of the merging entities exceeds a certain threshold, essentially requiring approval from the FCC before completing the transaction to ensure fair competition within the market; failure to notify constitutes an offense known as "gun-jumping.".
KEY POINTS ABOUT ACQUISITION AND MERGER LAWS IN TANZANIA:
  • Notification requirement:
    A merger must be notified to the FCC under Section 11(2) of the Fair Competition Act if the combined market value of the merging firms' assets or turnover reaches a specified threshold.
  • The threshold for notification:
    The current threshold for notification is typically set at Tanzanian Shillings 3.5 billion (approximately USD 1.5 million).
  • Assessment by the FCC:
    Once a merger notification is submitted, the FCC will review the transaction to assess its potential impact on competition within the relevant market.
  • Potential for conditions:
    The FCC may approve a merger with conditions to mitigate any potential anti-competitive effects.
  • Appeals process:
    If the FCC denies a merger, the parties involved can appeal to the Competition Tribunal.
Important considerations when dealing with mergers and acquisitions in Tanzania:
  • Legal advice:
    Consult with legal professionals familiar with Tanzanian competition law to ensure compliance with notification requirements and to navigate the approval process.
  • Market analysis:
    Thoroughly analyze the market dynamics and potential competitive impacts of the proposed merger or acquisition.
  • Pre-merger planning:
    Carefully plan the transaction to minimize potential regulatory hurdles and ensure a smooth approval process.
Scenario 3
In Tanzania laws, a company changing its name generally does not automatically trigger the requirement to pay compensation to all employees before re-engaging them, as long as the change in name does not significantly alter the nature of the business or the employees' roles and responsibilities; however, if the name change is part of a larger restructuring that leads to substantial changes in employment terms, like job cuts or significant changes in duties, then compensation might be required under the Employment Act, particularly if such changes constitute a "retrenchment.".
Key points to consider:
  • No specific provision for name change compensation:
    The Tanzanian Employment Act does not explicitly mention compensation requirements solely due to a company name change.
  • Business restructuring and impact on employment:
    If the name change is accompanied by significant changes in the company's structure, leading to job losses or altered working conditions, then the employer may need to provide compensation to affected employees, following proper retrenchment procedures.
  • Consult legal advice:
    It's highly recommended to consult with a labor lawyer in Tanzania to assess the specific situation and ensure compliance with employment laws if considering a name change alongside major business adjustments.
When might compensation be required in a name change scenario?
  • Merger or acquisition:
    If the name change is part of a merger or acquisition where the new company does not intend to retain all employees under the same terms, compensation may be necessary for those not re-employed.
  • Significant operational changes:
    If the name change is coupled with substantial changes in the company's operations, leading to job restructuring or significant changes in employee roles and responsibilities, compensation might be required.
    Scenario 4
  • Changing contract contents such as job description-JD and salary payment proof during the company process to change name without prior consultation with an employee, doesn't violate the laws amounting to breach of contract?
    1738764931195.png

 
Back
Top Bottom