Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani ex zangu Arushaone, Remote, Chimbuvu, Chilli, TANMO, kiplagati26, walinitesa sana.Unataka dudu mpya?
HahaaaaaaAdden-beef lasagna
Mkuu umefunguka haswa...safi sana huu ndo uthubutu wenyewe!!Usithubutu kumfungalia uzi mwanamke wa JF kama hujakua na uhakika niwako au utammiliki.( ujinga nikuandika uzi alafu demu anakuambia ,ninamtu !! Alafu mbaya anaongea anacheka kabisaaa na kwa kujinadi ....eti
"" thank youuuu my kaka ila nina mtu tayari ,Mungu atakupa anayekufaa'"" ......
Bro bila shaka utakuja na ID mpya ,kinyume nahapo utawachukia mashe wahumu ,lkn pia utakua umejitengenezea mazingira ya kutokukubalika tena.....( unless uwe makini ktk kucheza na Akili zao) .
Chapili,, hapa ndo mnakosea ,, Mwanamme huwa hatangazi kutafuta date ,, ukitangaza nikutafuta mkee ,lkn hizi za kuanzisha mahusiani sio zakutoa tangazo..
Hizi unawafata PM hata kama wapo mia ,wee mfate mmoja baada ya mwingine alafu finally Njoo nammoja unayemuelewa zaidi na yeye akakuelewa .
Nmesema haya kwasababu , Akili za wanawake bila shaka naww unazijua vzuri tuuu "kwa ajili ya couple" atakuja but not completely into you , nakwajinsi ulivyojichanganua niww unayeonekana mwenye shida kuliko hata atakayekuja.
Sawa ukapate sawa sawa na mapenzi yako.
Huhuhu tunatoka leo ama?Nimeamua kutumia LovePlane View attachment 720740
Nikukute ukiwa tayar
Jamaaaan J ndomaana nmesema nikukute tayarHuhuhu tunatoka leo ama?
Pamoja sana mkuu maana wanaume huwa tubakumbushana siku zoteMkuu umefunguka haswa...safi sana huu ndo uthubutu wenyewe!!
Hahahhahahaha haya weeeeNimetulia zangu hapa ,nakucheki ndani ua mawani mwanamke mzuri
Teheee teheee ,macho yangu yameenda moja kwamoja juu ya lips zako zamdomo ambazo ooohhhhh View attachment 720734
[emoji106] [emoji106] [emoji106]Leo nimeamua kumtumikia tu Mungu mkuu, maana naona hata siku zenyewe hizi zinahesabika
Pole sasa ben jamani atakuwa hai kweli??Yaani ex zangu Arushaone, Remote, Chimbuvu, Chilli, TANMO, kiplagati26, walinitesa sana.
Na tangu Ben Saanane wangu apotee, nimebaki mpweke mpaka nilipompata MO11, nikajua atanipoza machungu....kumbe kaja kuniongezea zaidi.
I wish angekuwepo Ben wangu, ningekuwa dunia mpya muda huu.
Nitammiss sana mpenzi wangu was moyoni Ben
Naona umecheka sana baby uwiiiHahahhahahaha haya weeee
Sidhani.Pole sasa ben jamani atakuwa hai kweli??
Omwanaaa ghai kwani utaambia kila mutu si mimi tuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] kusutwa ndo shida omwana
Jamaa ana katoto under 18 [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Omwanaaa ghai kwani utaambia kila mutu si mimi tuu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] miaka 30 inamuhusuJamaa ana katoto under 18 [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]