Aliyeachiwa kwa msamaha wa Rais ahukumiwa miaka 30 jela

Aliyeachiwa kwa msamaha wa Rais ahukumiwa miaka 30 jela

Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.
Duu jamaa alishindwa hata kuwa kuli?
 
In short alichofanya ni kumtukana aliyemsamehe. Kwa trend hii, sheria ya msamaha ibadilishwe kulinda heshima ya rais!
misamaha iendelee kuwepo ila iangalie aina za makosa na rekodi za watenda makosa. Wakosaji wengine akili zao haziko sawa wakisamehewa hurudia makosa yao badala ya kujiepusha kurudia makosa
 
Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.

Binafsi huwa sioni mantiki ya wewe kurudia tulichokisoma kwenye uzi, ni maoni yangu tu hayo, maana huna unachoongeza kwenye mjadala.
 
Mahakama zingekuwa zinatoa adhabu sawasawa na mtuhumiwa alivyotenda...

Kama huyu wa kukata wenzake na mapanga, ilibidi ahukumiwe kucharangwa mapanga + kifungo...
Umebaka?

Unabakwa.

Unatoa hoja.

Nilibaka mwanamke basi nibakwe na mwanamke pia.

Mahakama inapinga.

Kimaumbile inabidi udumbukizwe kitu.

Unapinga pingo la mahakama.

Na kimaumbile mimi sina uke. So hamuwezi kunifanyia nilichofanya.

Mahakama.

Ok sawa, utafanyiwa operation ya kuwekwa uke ili utumikie adhabu yako ya kifungo na kubakwa
 
In short alichofanya ni kumtukana aliyemsamehe. Kwa trend hii, sheria ya msamaha ibadilishwe kulinda heshima ya rais!
Kosa la mtu mmoja haliwezi kusababisha sheria zibadilike ghafla. Mbona rais anateuwa wengi tuu kwenye nafasi nyeti halafu wanaiba na kufanya ufisadi mkubwa na hajapendekeza rais aache kuteua watu?
 
JOHN Chibuga (31), mkazi wa Kijiji cha Bugolola wilayani Ukerewe, mkoani Mwanza, ambaye Desemba 9, mwaka jana aliachiliwa kwa msamaha wa Rais, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha.

Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Aidan Nziku, alidai kuwa Chibuga alimvamia Mdala Mangu (34), mkazi wa Ukerewe akiwa nyumbani kwake na kumkata kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kuiba simu ya mkononi na kukimbia.

Hukumu hiyo ilitolewa Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe, Lucas Nyahega, aliyesema kuwa ushahidi uliotolewa mahakamani huko haukutia shaka, mshtakiwa alitenda kosa hilo kwa kukusudia na hivyo mahakama inamhukumu kwenda gerezani kutumikia kifungo cha miaka 30.

Awali Mwendesha Mashtaka wa Serikali Nziku akisoma mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo, alidai mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo Desemba 15, 2023 katika Kijiji cha Kakerege, wilayani Ukerewe.

Alidai kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa la namna hiyo kwa mara ya pili ambapo awali alihukumiwa kwa kosa la kuvunja duka usiku na kuiba, hivyo kutiwa hatiani na Mahakama ya Mwanzo Nansio kisha kuachiliwa huru Desemba 9, 2023 kwa msamaha wa Rais.

Alidai kosa hilo la unyang'anyi wa kutumia silaha ni kinyume cha kifungu namba 287(A) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura 16 (2022), hivyo kuiomba mahakama hiyo kutoa adhabu kali dhidi yake ili iwe fundisho kwa watu wengine.

Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.

Source - Nipashe
Polisi washamba sana.
Huyo jamaa alipaswa kuzawadiwa wananchi wamgawane.


Myu unaachiwa kwa msamaha na bado unatudi kulekule kulikkkusababisha ufungwe. Ni kipaji
 
Kwa hio kwa kutumia Sharia akipiga mapanga mwenzie na yeye apigwe mapanga?
we hukusukia ikisemwa " Ukiishi kwa upanga,utakufa kwa upanga?"
Ila kwa utaratibu wa Sharia Ni kuwa kisasi(retaliation) Ni Sehemu ya hukumu Katika kosa la mauaji
 
Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.
Hapa ndio kuna point muhimu sana, magereza mengi yanatengeneza Tatizo Badala ya kutatua Tatizo. The guy was right in the wrong place and time
 
Umebaka?

Unabakwa.

Unatoa hoja.

Nilibaka mwanamke basi nibakwe na mwanamke pia.

Mahakama inapinga.

Kimaumbile inabidi udumbukizwe kitu.

Unapinga pingo la mahakama.

Na kimaumbile mimi sina uke. So hamuwezi kunifanyia nilichofanya.

Mahakama.

Ok sawa, utafanyiwa operation ya kuwekwa uke ili utumikie adhabu yako ya kifungo na kubakwa

Ukibaka, unakatwa mashine tu ili wakati mwingine usibake au unafanywa kuwa hanithi mashine ibakie kuwa pambo tu...
 
JOHN Chibuga (31), mkazi wa Kijiji cha Bugolola wilayani Ukerewe, mkoani Mwanza, ambaye Desemba 9, mwaka jana aliachiliwa kwa msamaha wa Rais, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha.

Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Aidan Nziku, alidai kuwa Chibuga alimvamia Mdala Mangu (34), mkazi wa Ukerewe akiwa nyumbani kwake na kumkata kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kuiba simu ya mkononi na kukimbia.

Hukumu hiyo ilitolewa Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe, Lucas Nyahega, aliyesema kuwa ushahidi uliotolewa mahakamani huko haukutia shaka, mshtakiwa alitenda kosa hilo kwa kukusudia na hivyo mahakama inamhukumu kwenda gerezani kutumikia kifungo cha miaka 30.

Awali Mwendesha Mashtaka wa Serikali Nziku akisoma mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo, alidai mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo Desemba 15, 2023 katika Kijiji cha Kakerege, wilayani Ukerewe.

Alidai kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa la namna hiyo kwa mara ya pili ambapo awali alihukumiwa kwa kosa la kuvunja duka usiku na kuiba, hivyo kutiwa hatiani na Mahakama ya Mwanzo Nansio kisha kuachiliwa huru Desemba 9, 2023 kwa msamaha wa Rais.

Alidai kosa hilo la unyang'anyi wa kutumia silaha ni kinyume cha kifungu namba 287(A) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura 16 (2022), hivyo kuiomba mahakama hiyo kutoa adhabu kali dhidi yake ili iwe fundisho kwa watu wengine.

Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.

Source - Nipashe
huyu angenyongwa tu
 
Kosa si lake kwani amelazimika kutokana na serikali kitomuandaa jinsi ya kuishi uraiani, ametoka jela katembea kwa mguu mpaka kijijini na huko hana chakula wala pakulala, ataishije!
Panga kalipataje..?

Akili aliyotumia kupata panga la kufanyia ujambazi angeitumia kupata namna ya kujikimu mtaani.

Adhabu ya kifungo ingeambatana na kazi ngumu, she.nzi zake!!!
 
Panga kalipataje..?

Akili aliyotumia kupata panga la kufanyia ujambazi angeitumia kupata namna ya kujikimu mtaani.

Adhabu ya kifungo ingeambatana na kazi ngumu, she.nzi zake!!!
Mtu ambaye si mhalifu kwa sasa kupata mlo mmoja tu kwa siku ni shughuri, panga unaweza ukaazima kukatia kuni na ukalitumia vinginevyo.
 
Kosa si lake kwani amelazimika kutokana na serikali kitomuandaa jinsi ya kuishi uraiani, ametoka jela katembea kwa mguu mpaka kijijini na huko hana chakula wala pakulala, ataishije!
Hiyo si kazi ya mageraza kumuandaa mtu ujinga wake ndio umemponza
 
Back
Top Bottom