Aliyeachiwa kwa msamaha wa Rais ahukumiwa miaka 30 jela

Aliyeachiwa kwa msamaha wa Rais ahukumiwa miaka 30 jela

Wafungwa ni watu na wanamahitaji ya kiutu hivyo ni lazima waandaliwe namna ya kuishi uraiani, Kenye wanawafundisha ufundi na kuwapa vifaa vya kuanzia maisha kama vile cherehani na vitambaa, useremala, fundi bomba na fundi magari, yote hayo hufanyika wakiwa jela hivyo akitoka anao uhakika wa kuendelea na maisha yake.
Vipi wanaofungwa kwa ufisadi, ubakaji, na jinai zingine?
 
Hakuna justification ya wizi,wizi ni tabia ya mtu,unaweza kukuta mtu ana milioni moja mfukoni ila akaiba buku ya mwenzake ndani ya Dala Dala,

Mbona mtaani wengi tu hawakuandaliwa wala hawana huo ujuzi ila wanatafuta maisha kwa njia ya halali tu,halafu sio kila mwenye ujuzi ana kazi ya kufanya,wau wanahangaika kutafuta ajira kila siku hata humu JF.
umenikumbusha kitu kweli wizi ni tabia
Yupo tajiri mmoja hapo Dar anaitwa ????????? namuhifadhi ni tajiri lakini ni mwizi wa magari
Alimkimbia Magufuli kwa sasa sijui yuko wapi mchaga yule
 
Siku hizi watu wanavamia nyumba ili waibe nini? Hela watu hawakai nazo ndani, matv na maradio siyo deal kama miaka ya 90 na 2000 mwanzoni.
 
Back
Top Bottom