Duu jamaa alishindwa hata kuwa kuli?Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.
misamaha iendelee kuwepo ila iangalie aina za makosa na rekodi za watenda makosa. Wakosaji wengine akili zao haziko sawa wakisamehewa hurudia makosa yao badala ya kujiepusha kurudia makosaIn short alichofanya ni kumtukana aliyemsamehe. Kwa trend hii, sheria ya msamaha ibadilishwe kulinda heshima ya rais!
Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.
Aiseee simu kweli?kisha kuiba simu ya mkononi na kukimbia.
Asingepata tiketi ya kwenda Jela, wengine wanapapenda kuleKwani angepora bila kumkatakta mapanga angepungukiwa na nini?
Kwa hio kwa kutumia Sharia akipiga mapanga mwenzie na yeye apigwe mapanga?ndio utaona umuhimu wa Sharia hapo.
Sharia ndio suluhisho la matatizo ya binadamu,kisiasa,kiuchumi,kijamii n.k
Umebaka?Mahakama zingekuwa zinatoa adhabu sawasawa na mtuhumiwa alivyotenda...
Kama huyu wa kukata wenzake na mapanga, ilibidi ahukumiwe kucharangwa mapanga + kifungo...
Kosa la mtu mmoja haliwezi kusababisha sheria zibadilike ghafla. Mbona rais anateuwa wengi tuu kwenye nafasi nyeti halafu wanaiba na kufanya ufisadi mkubwa na hajapendekeza rais aache kuteua watu?In short alichofanya ni kumtukana aliyemsamehe. Kwa trend hii, sheria ya msamaha ibadilishwe kulinda heshima ya rais!
Polisi washamba sana.JOHN Chibuga (31), mkazi wa Kijiji cha Bugolola wilayani Ukerewe, mkoani Mwanza, ambaye Desemba 9, mwaka jana aliachiliwa kwa msamaha wa Rais, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha.
Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Aidan Nziku, alidai kuwa Chibuga alimvamia Mdala Mangu (34), mkazi wa Ukerewe akiwa nyumbani kwake na kumkata kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kuiba simu ya mkononi na kukimbia.
Hukumu hiyo ilitolewa Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe, Lucas Nyahega, aliyesema kuwa ushahidi uliotolewa mahakamani huko haukutia shaka, mshtakiwa alitenda kosa hilo kwa kukusudia na hivyo mahakama inamhukumu kwenda gerezani kutumikia kifungo cha miaka 30.
Awali Mwendesha Mashtaka wa Serikali Nziku akisoma mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo, alidai mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo Desemba 15, 2023 katika Kijiji cha Kakerege, wilayani Ukerewe.
Alidai kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa la namna hiyo kwa mara ya pili ambapo awali alihukumiwa kwa kosa la kuvunja duka usiku na kuiba, hivyo kutiwa hatiani na Mahakama ya Mwanzo Nansio kisha kuachiliwa huru Desemba 9, 2023 kwa msamaha wa Rais.
Alidai kosa hilo la unyang'anyi wa kutumia silaha ni kinyume cha kifungu namba 287(A) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura 16 (2022), hivyo kuiomba mahakama hiyo kutoa adhabu kali dhidi yake ili iwe fundisho kwa watu wengine.
Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.
Source - Nipashe
we hukusukia ikisemwa " Ukiishi kwa upanga,utakufa kwa upanga?"Kwa hio kwa kutumia Sharia akipiga mapanga mwenzie na yeye apigwe mapanga?
Hapa ndio kuna point muhimu sana, magereza mengi yanatengeneza Tatizo Badala ya kutatua Tatizo. The guy was right in the wrong place and timeMshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.
Umebaka?
Unabakwa.
Unatoa hoja.
Nilibaka mwanamke basi nibakwe na mwanamke pia.
Mahakama inapinga.
Kimaumbile inabidi udumbukizwe kitu.
Unapinga pingo la mahakama.
Na kimaumbile mimi sina uke. So hamuwezi kunifanyia nilichofanya.
Mahakama.
Ok sawa, utafanyiwa operation ya kuwekwa uke ili utumikie adhabu yako ya kifungo na kubakwa
huyu angenyongwa tuJOHN Chibuga (31), mkazi wa Kijiji cha Bugolola wilayani Ukerewe, mkoani Mwanza, ambaye Desemba 9, mwaka jana aliachiliwa kwa msamaha wa Rais, amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na kosa la unyang'anyi wa kutumia silaha.
Mwendesha Mashtaka wa Serikali, Aidan Nziku, alidai kuwa Chibuga alimvamia Mdala Mangu (34), mkazi wa Ukerewe akiwa nyumbani kwake na kumkata kwa panga sehemu mbalimbali za mwili wake kisha kuiba simu ya mkononi na kukimbia.
Hukumu hiyo ilitolewa Hakimu Mkazi Mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Ukerewe, Lucas Nyahega, aliyesema kuwa ushahidi uliotolewa mahakamani huko haukutia shaka, mshtakiwa alitenda kosa hilo kwa kukusudia na hivyo mahakama inamhukumu kwenda gerezani kutumikia kifungo cha miaka 30.
Awali Mwendesha Mashtaka wa Serikali Nziku akisoma mashtaka hayo mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi wa mahakama hiyo, alidai mshtakiwa huyo alitenda kosa hilo Desemba 15, 2023 katika Kijiji cha Kakerege, wilayani Ukerewe.
Alidai kuwa mshtakiwa huyo alitenda kosa la namna hiyo kwa mara ya pili ambapo awali alihukumiwa kwa kosa la kuvunja duka usiku na kuiba, hivyo kutiwa hatiani na Mahakama ya Mwanzo Nansio kisha kuachiliwa huru Desemba 9, 2023 kwa msamaha wa Rais.
Alidai kosa hilo la unyang'anyi wa kutumia silaha ni kinyume cha kifungu namba 287(A) cha Sheria ya Kanuni ya Adhabu, Sura 16 (2022), hivyo kuiomba mahakama hiyo kutoa adhabu kali dhidi yake ili iwe fundisho kwa watu wengine.
Mshtakiwa huyo alipopewa nafasi ya kujitetea kutokana na kosa linalomkabili, aliomba mahakama impunguzie adhabu kwa kuwa hakuwa na fedha ya kujikimu baada ya kutoka gerezani, ndiyo sababu ya kupora.
Source - Nipashe
Panga kalipataje..?Kosa si lake kwani amelazimika kutokana na serikali kitomuandaa jinsi ya kuishi uraiani, ametoka jela katembea kwa mguu mpaka kijijini na huko hana chakula wala pakulala, ataishije!
Mtu ambaye si mhalifu kwa sasa kupata mlo mmoja tu kwa siku ni shughuri, panga unaweza ukaazima kukatia kuni na ukalitumia vinginevyo.Panga kalipataje..?
Akili aliyotumia kupata panga la kufanyia ujambazi angeitumia kupata namna ya kujikimu mtaani.
Adhabu ya kifungo ingeambatana na kazi ngumu, she.nzi zake!!!
Hiyo si kazi ya mageraza kumuandaa mtu ujinga wake ndio umemponzaKosa si lake kwani amelazimika kutokana na serikali kitomuandaa jinsi ya kuishi uraiani, ametoka jela katembea kwa mguu mpaka kijijini na huko hana chakula wala pakulala, ataishije!