Aliyeachiwa kwa msamaha wa Rais ahukumiwa miaka 30 jela

Vipi wanaofungwa kwa ufisadi, ubakaji, na jinai zingine?
 
umenikumbusha kitu kweli wizi ni tabia
Yupo tajiri mmoja hapo Dar anaitwa ????????? namuhifadhi ni tajiri lakini ni mwizi wa magari
Alimkimbia Magufuli kwa sasa sijui yuko wapi mchaga yule
 
Siku hizi watu wanavamia nyumba ili waibe nini? Hela watu hawakai nazo ndani, matv na maradio siyo deal kama miaka ya 90 na 2000 mwanzoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…