Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
ChoiceVariable alisema magari ya kushato yanaletwa na Kafulila na wawekezaji!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣Poleni.Uvivu tu wa kulima.Kwani lazima muishi Dar?
Msukuma anakwambia kati ya magari 300, 15 ndiyo yanafanya kazi.Amani iwe nanyi watanzania
Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki
Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha
Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi alafu wanataka tuwachague tena
Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B
Mwendokas ni mateso jaman
MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi
LONDON BOY
Tatizo siio population bwana. Wewe mradi hauna competetion lakini wameshindwa kuendesha na mbaya zaidi magari mengi yamepaki kwa ubovu.Population kubwa nayo tatizo kwenye nchi yenye uwezo mdogo wa teknolojia.
Mwendo kasi umekuwa mwende kero siku hizi.Kuanzia leo nitaenda K,koo na Mwendokasi ila nitarudi na Bajaj.
Sio kwa mateso ya leo. Nimeingia stand saa 11 jioni ila nimepanda gari saa moja tena kwa kurukia gari kama chui anaemdaka nyumbu
Watu watakupinga ila population kubwa tena isiyo na quality ni mzigo mzito kwa nchi.Population kubwa nayo tatizo kwenye nchi yenye uwezo mdogo wa teknolojia.
Hapoo fanya kuunga magari hakuna namna. Sijui ni ushamba wa mji wa Dar, sijawahi kubahatika kupanda mwendokasi maana kila nikipishana na hayo magari mara nyingi naona watu wamebanana sana kuliko kawaida. Nishazoea daladala zetu za tegeta japo naona wanatuletea mwendokasi hivi pundeNdugu tunateseka unasubili gali masaa mawili kama ndege na habati mbaya kutoka posta mpaka kimara daladala waliziua
Na nyie tumewachoka na huyo marehemu wenu,kwani wakati wake tulikuwa tunaishi maisha ya peponi au? Mwendokasi zilikuwa zinajaza kwa kero kama kawaidaHalafu kuna mtu anatuaminisha JPM alikua mtu mbaya sana
Hapana sio populationPopulation kubwa nayo tatizo kwenye nchi yenye uwezo mdogo wa teknolojia.
Enzi zake ulikua hukai dakika 10 basi halijafika; sasa hvi ni bahati nasibu tu. By the way, yamebaki mabasi mangapi? Hata ukikasirika, ndio ukweli huo.Na nyie tumewachoka na huyo marehemu wenu,kwani wakati wake tulikuwa tunaishi maisha ya peponi au? Mwendokasi zilikuwa zinajaza kwa kero kama kawaida
Hio ndio population yenyewe sasa, jiji linakuwa limezidiwa kimoundimbinu hasa ukizingatia uwezo wetu wa ufanisi katika mambo mbalimbali bado ni mdogo.Hapana sio population
Ni kwamba vijana wote wamekimbilia Dar
Wote wamekuja kubanana mjini kuwa sijui winga mara chawa
Wamejaa Dar bila shughuli ya maana ndio maana enzi nyerere watu walikuwa wanakamatwa kurudishwa vijijini na mikoani kukontrol populatio ya miji
Ok,mbebe gwajima mkamfufuweEnzi zake ulikua hukai dakika 10 basi halijafika; sasa hvi ni bahati nasibu tu. By the way, yamebaki mabasi mangapi? Hata ukikasirika, ndio ukweli huo.
Mfumo wa mwendokasi uondolewe na treni za umeme zijenge na train za mitumba za huyu Mama yenu ziamishe kwenye mwendokasi na Serikali inunue train mpya na zaki sasa kutoka kiwandani Kama Mavufuli alivyo nununua Ndege mpya kwa Cash. Na siyo huyu Mama kaleta Matrain mtumba sisi watu wa Bara tunapenda vitu vipya siyo vilivyotumika.Population kubwa nayo tatizo kwenye nchi yenye uwezo mdogo wa teknolojia.
Kuteseka kunatengenezwa ili kuwapa fursa kundi fulani la watuAmani iwe nanyi watanzania
Sina uhakika huyu aliyeanzisha huu mradi wa mwendokas kama alikuwa na lengo na kutesa watanzania kiasi hiki
Na kama angejua watu watakuja kuteseka namna hii hakika asingeuanzisha
Utawala uliopo madarakani umeshindwa hata kusimamia huu mradi alafu wanataka tuwachague tena
Inauma sana kuongozwa kibabe namna hii na watu wasio na uwezo kuwa viongozi wa darasa la tano B
Mwendokas ni mateso jaman
MWENYEZI MUNGU mwenyewe aingilie huu ugomvi
LONDON BOY
Huyu mwanamke wa pemba arudi kwaoWaafrika turudishwe enzi za mawe!, tukale mizizi upyaa halafu uchi kitu ana kwa ana tukikimbiza mikia yetu huku tukiwatisha wanyama wengine! nafikiri hicho ndo kipaji chetu!