Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 19,976 Reaction score 32,195 Jan 13, 2025 Thread starter #121 Masaa haya uko wapi ukisubilia mwendokas
Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 19,976 Reaction score 32,195 Jan 13, 2025 Thread starter #122 mkabasia said: Poleni,huu USAFIRI ni mateso kwakweli.Siku hizi walau naona kuna option sio lazima upande kwa wale wanaotokea mbezi Luis.Unaweza panda zile za mwananyamala Hadi magomeni then pale ukachukua ya Posta au kariakoo.Kuna bajaji pia. Click to expand... Ni mateso makubwa sana
mkabasia said: Poleni,huu USAFIRI ni mateso kwakweli.Siku hizi walau naona kuna option sio lazima upande kwa wale wanaotokea mbezi Luis.Unaweza panda zile za mwananyamala Hadi magomeni then pale ukachukua ya Posta au kariakoo.Kuna bajaji pia. Click to expand... Ni mateso makubwa sana
Azim Sokoine JF-Expert Member Joined Aug 20, 2014 Posts 1,443 Reaction score 2,643 Jan 13, 2025 #123 Kama mradi kama huu tumeshindwa kuendesha na kuusimamia wenyewe tunasubiria hadi wazungu watusadie basi sisi ni MFU.
Kama mradi kama huu tumeshindwa kuendesha na kuusimamia wenyewe tunasubiria hadi wazungu watusadie basi sisi ni MFU.
Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 19,976 Reaction score 32,195 Jan 20, 2025 Thread starter #124 Unateseka ukiwa wapi now
Beira Boy JF-Expert Member Joined Aug 7, 2016 Posts 19,976 Reaction score 32,195 Feb 17, 2025 Thread starter #125 Leo Kuna mateso ya hali juu sana
C Chief Sanze JF-Expert Member Joined Jun 13, 2014 Posts 1,668 Reaction score 3,736 Feb 17, 2025 #126 Makwizi Band said: Halafu kuna mtu anatuaminisha JPM alikua mtu mbaya sana Click to expand... Kwani alivyokuwa hai kulikuwa na nafuu gani kwenye huo mwendokasi?
Makwizi Band said: Halafu kuna mtu anatuaminisha JPM alikua mtu mbaya sana Click to expand... Kwani alivyokuwa hai kulikuwa na nafuu gani kwenye huo mwendokasi?