Aliyeanzisha uzi wa “Yanayojiri mgogoro wa Ukraine na Russia” yupo hai au vita vimeondoka naye maana hakuna updates

Aliyeanzisha uzi wa “Yanayojiri mgogoro wa Ukraine na Russia” yupo hai au vita vimeondoka naye maana hakuna updates

Paulsylvester

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2021
Posts
1,464
Reaction score
3,379
Mada yangu hii, imekaa Kwa mtindo wa swali,

Nauliza tuu, na kama yupo, Mingy ampe maisha marefu zaidi,

Imekuwa ni muda mrefu sasa tokea Julay huko hajawahi tena kuapdate tarifa ya Uzi wake

Mimi kila nikiingia Jukwaan, lazima nianze kusoma Uzi wake kwanza, maana huwa ninaamini kuwa yeye ndiye haswaa chanzo cha uhakika wa tarifa za mgogoro huu

Cha ajabu sasa, kila nikiingia kusoma, tarifa ya mwisho mpya, inakuwa inaishia mwezi wa saba huko na wakati leo tuko September

Sasa najiuliza, inswezekana mwenzetu alikuwa mwandishi wa habari huko Rasia, Kwa bahati mbaya Bomu la vijana wa Zele likampitia! Na ndiyo maana hatuoni tarifa zake?

Mkuu kama upo, tuletee apdate aisee, Mimi naamini sana tarifa za mapigano haya, wewe ndo unaandikaga ukweli
 
Hizo updates zinaletwa na mods na sio muanzisha mada!
 
May be she was Russia sympathizer and she knew clearly that the Special military operation would be finished within three days as planned so she could not hang over for a week or not a month or not six months or ......my God she keeps on confusing....

All in all....I like vijiwe kahawa na vibanda vya cinema analysis of this war....

Warusi wa kwa mkonoo, atomic, ngulelo, mabatini, barabara ya tano, misufini, kihonda, njuweni, police line njooni jamani tunakosa raha kwa nin hamjibu so mna machumachuma kibao?
Picha Russian soldier @ home mikwara kibao
 

Attachments

  • Screenshot_20220913-205120.png
    Screenshot_20220913-205120.png
    136.7 KB · Views: 4
Mkenya mmoja kawafurusha wavaa kobazi wote wa Mtambani, kwa mtoro, Manyema Buza na viunga vyake vyote. MK254 Ni kiboko.
Hahaha kwa kweli we are very very happy
Sukari na pressure zimeshuka we can see clearly
Vipi nyie Warusi wa Kremlin au mmekimbilia Irani?
 
May be she was Russia sympathizer and she knew clearly that the Special military operation would be finished within three days as planned so she could not hang over for a week or not a month or not six months or ......my God she keeps on confusing....

All in all....I like vijiwe kahawa na vibanda vya cinema analysis of this war....

Warusi wa kwa mkonoo, atomic, ngulelo, mabatini, barabara ya tano, misufini, kihonda, njuweni, police line njooni jamani tunakosa raha kwa nin hamjibu so mna machumachuma kibao?
Picha Russian soldier @ home mikwara kibao
Tupo huku Kwamkoyoyo ndani ndani huku tunakuja.
 
Naona mnataka kuhamishia mtanange humu tena....yaani huu uzi muda si mrefu patakuwa na pro Russia vs Pro Ukraine...
 
Naona mnataka kuhamishia mtanange humu tena....yaani huu uzi muda si mrefu patakuwa na pro Russia vs Pro Ukraine...
Pro Russian aka wavaa kobazi hawana chao tena wanachungulia na kupotea.
 
Itakuwa ni Yericco Nyerere huyo baada kuona Russian wanachapika kakimbia
 
Back
Top Bottom