Aliyebaka mtoto na kumwambukiza UKIMWI aachiwa huru baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha

Aliyebaka mtoto na kumwambukiza UKIMWI aachiwa huru baada ya kuhukumiwa kifungo cha maisha

Sasa kama alifanya jaribio la kumbaka mtoto hapo unamhukumje? Kwa kumuambukiza mtoto au alianza na jaribio la ubakaji na mwisho wa siku akafanya ubakaji?
 
Wanasema eti wanaume hawazeeki, sasa si angetafuta wakubwa wenzie?

Kufikia hivyo ujue ulozi mkubwa umetumika.

Kesho atarudia tu, hawasikii.
WEWE UNA UHAKIKA GANI KAMA KWELI ALIFANYA HICHO KITENDO? HIVI UNAIFAHAMU MIAKA 78 HALI YA DHAKALI YA MWANAUME KWA UMRI HUO, ACHA KUWA MTAZAMO WA KUSHOTO KWA KILA JAMBO.
 
WEWE UNA UHAKIKA GANI KAMA KWELI ALIFANYA HICHO KITENDO? HIVI UNAIFAHAMU MIAKA 78 HALI YA DHAKALI YA MWANAUME KWA UMRI HUO, ACHA KUWA MTAZAMO WA KUSHOTO KWA KILA JAMBO.
Wameandika pia alimwambukiza mtoto ukimwi wewe unavaa miwani nyeusi unakomaa .

Let's say was your baby girl.
 
"Mzee huyo alikuwa ametiwa hatiani kwa makosa matatu, moja la kubaka mtoto mwenye umri chini ya miaka 18, kumwambukiza virusi vya Ukimwi (VVU) kwa makusudi na kosa la tatu likiwa ni kufanya jaribio la kumbaka mtoto huyo." Hayo makosa matatu kisheria yamekaaje hapo
Mhhhhhh
Inawezekanaje mzee kama huyu kusingiziwa
 
Kama hivyo ilibidi uandike aliyetuhumiwa kumbaka mtoto na kumwambukiza Ukimwi aachiwa huru baada ya kuonekana hana hatia
 
Miaka 78, akakapelekea moto katoto ka buku 2.

Hizi kesi sio za kuziamini sana
 
Haiingii akilini mzee wa miaka 78 asumbuke na vototo vidogo.hiyo kesi alisingiziwa na kudhalilishwa.mzee afungue kesi ya kudhalilishwa.hakimu wa mchongo alimuonea mzee.hakimu mshenzi sana.
Miaka 78 na mimba anatia kabisa acheni upotoshaji, angekuwa mwanao usingeandika huo upupu.
 
Back
Top Bottom