Aliyebuni mandhari ya ndani ya Ikulu ya Rwanda hakika alipatia

Aliyebuni mandhari ya ndani ya Ikulu ya Rwanda hakika alipatia

aka2030

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2013
Posts
2,657
Reaction score
3,679
7B17B926-C5FA-49B1-A144-79689B25BC20.jpeg

Muonekano rahisi ila mzuri
 
Rwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
Magu-na-faili-zake.jpg
 
Nimemuona Marehemu Mwamba Yupo masijala na mafaili ya makinikia!!!
 
Rwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
View attachment 2576271
Usichanganye mambo,hapo ni chooni sio ofisini
 
Rwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
View attachment 2576271
Una akili ndogo sana, unadhani ikulu ina chumba na sebule? Hizo ofisi zipo nyingi za kutosha na zinaendana na wizara husika.

Tofautisha ofisi za ikulu ( anapofanyia kazi rais) na ikulu kama sehemu ya mazungumzo tu na wageni.

Huyo kagame yupo kwenye eneo la sehemu ya maongezi tu na siyo ofsini.
 
Una akili ndogo sana, unadhani ikulu ina chumba na sebule? Hizo ofisi zipo nyingi za kutosha na zinaendana na wizara husika.

Tofautisha ofisi za ikulu ( anapofanyia kazi rais) na ikulu kama sehemu ya mazungumzo tu na wageni.

Huyo kagame yupo kwenye eneo la sehemu ya maongezi tu na siyo ofsini.
Wewe mwenye akili kubwa Sawa tuoneshe picha ya ikulu yetu hiyo sehemu ya mazungumzo ya wageni..
 
Back
Top Bottom