Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaona chochote cha kutisha wa hicho unachoita ubunifu.
Kama ya UAE, very simple ila nzuri sanaView attachment 2576260
Muonekano rahisi ila mzuri
Ofisi za Silent Ocean pale mtaa wa Lumumba na Udoe zinaizidi mbali hii. Kwanza ni ukumbi wa nini huu, maana ikulu kubwaView attachment 2576260
Muonekano rahisi ila mzuri
Usichanganye mambo,hapo ni chooni sio ofisiniRwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
View attachment 2576271
NOTE: Ile picha haikupigwa Ikulu, ni ofisi ya nyumbani kwake.Usichanganye mambo,hapo ni chooni sio ofisini
Una akili ndogo sana, unadhani ikulu ina chumba na sebule? Hizo ofisi zipo nyingi za kutosha na zinaendana na wizara husika.Rwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
View attachment 2576271
Alikuwa rais haswa.jiwe kama jiwe akiwa anapata ripoti za mwenendo wa nchi tofauti na huyu bibi
Wewe mwenye akili kubwa Sawa tuoneshe picha ya ikulu yetu hiyo sehemu ya mazungumzo ya wageni..Una akili ndogo sana, unadhani ikulu ina chumba na sebule? Hizo ofisi zipo nyingi za kutosha na zinaendana na wizara husika.
Tofautisha ofisi za ikulu ( anapofanyia kazi rais) na ikulu kama sehemu ya mazungumzo tu na wageni.
Huyo kagame yupo kwenye eneo la sehemu ya maongezi tu na siyo ofsini.
Acha uzembe ingia hata google maana siyo siri uangalie mwenyewe.Wewe mwenye akili kubwa Sawa tuoneshe picha ya ikulu yetu hiyo sehemu ya mazungumzo ya wageni..