kizaizai
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 5,651
- 6,966
Ofisi ya nyumbani Chato, wakati ule wa covid.Nimemuona Marehemu Mwamba Yupo masijala na mafaili ya makinikia!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ofisi ya nyumbani Chato, wakati ule wa covid.Nimemuona Marehemu Mwamba Yupo masijala na mafaili ya makinikia!!!
UchafuRwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
View attachment 2576271
Hapa kazi tuRwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
View attachment 2576271
Rwanda inaonesha wanapenda sana nakshi na muonekano kwao ni kipaombele sana..
ni jambo nzuri sana kuwa kisasa na sisi jaman tuige kwa wenzetu hapo maana tulivyo bora hata ya sasa kipindi kile cha mzee baba aibu unaona wewe unayeangalia video/picha
View attachment 2576271
kuna nini cha ajabu hapo; very budget; sidhani kama hapo ndio main reception?View attachment 2576260
Muonekano rahisi ila mzuri