deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,405
- 521
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adui yangu mkubwa ni Lager na nyama choma , hao jamaa wananiponza sanaa.
Hiyo kuacha ni ngumu sanaa mkuu, narudia tena ni Lager na Nyama choma.
Pole sana.Nimekimbia, nimeruka nk lakini nimeshindwa kabisa kukiondoa. Naomba wale ambao mlikuwa na kitambi mtoe maelezo hapa nini mulifanya ili kukiondoa?
ThanksAisee asikwambie mtu, CHAKULA CHAKULA CHAKULA ndio suluhisho, ukiweka nidhamu ya chakula aaaah mbona unapungua fasta.
Leo asubuhi nimeamka na yai la kuchemsha na andazi moja! hapa nina mtindi kwenye glass ofisini, naupiga taratiiibu mpaka saa 6 mchana!
Nilianza kilimo nikiwa na kilo 78 sasa Nina kilo 64..!!!
Move out your comfort zone..
#YNWA
Mimi kitambi kiliisha kabisa baada ya kuacha kazi.Nimekimbia, nimeruka nk lakini nimeshindwa kabisa kukiondoa. Naomba wale ambao mlikuwa na kitambi mtoe maelezo hapa nini mulifanya ili kukiondoa?
Kuacha au kuachishwaMimi kitambi kiliisha kabisa baada ya kuacha kazi.
Niliacha mwenyeweKuacha au kuachishwa
Dana ya kitambi ni stress. Hey jitafutie stress kidogo utaleta mrejesho.
Luna kipindi nilikuwa nakula moo Mona turn kwa siku lakini wapi.
Nikajapigwa na stress za kazini. Kitambi hicho kikaondoka.
God save us
Ipo hivi kiongozi