Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Halafu kwa mwanaume ili usisikie njaa mara kwa mara hususa mwanzoni pendelea sana kila mlo kula na mboga za majani au salad.
Sababu zina fibers kambakamba ambazo huyeka na kuachiliwa kidogo kidogo huko tumboni na kufanya kongosho kuto kuelemewa ktk kutema insulin n.k
Ukila mboga ya majani au saladi ya kutosha hutasikia njaa haraka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sababu zina fibers kambakamba ambazo huyeka na kuachiliwa kidogo kidogo huko tumboni na kufanya kongosho kuto kuelemewa ktk kutema insulin n.k
Ukila mboga ya majani au saladi ya kutosha hutasikia njaa haraka
Sent using Jamii Forums mobile app