Aliyefikiria kupeleka mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga alifikiria mbali sana

Aliyefikiria kupeleka mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga alifikiria mbali sana

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Huyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana.

Uto tumekuja kwenu kuwaonyesha siyo tu jinsi ya kwenda robo fainali ukiwa na mechi moja mkononi, lakini pia jinsi ya kuongoza kundi.

Msikose hili darasa huru, njoni na peni na daftari lenye mistari. Hamna haja ya kubeba calculator, hazihitajiki. Hamna sababu ya kukosa wakati tumewasevu gharama za usafiri. Supu zitakuwepo!

Naombeni kuwepo ulinzi wa kutosha ili hawa wanafunzi watukutu wasije kuvunja screen.
 
Huyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana.

Uto tumekuja kwenu kuwaonyesha siyo tu jinsi ya kwenda robo fainali ukiwa na mechi moja mkononi, lakini pia jinsi ya kuongoza kundi.

Msikose hili darasa huru, njoni na peni na daftari lenye mistari. Hamna haja ya kubeba calculator, hazihitajiki. Hamna sababu ya kukosa wakati tumewasevu gharama za usafiri. Supu zitakuwepo!

Naombeni kuwepo ulinzi wa kutosha ili hawa wanafunzi watukutu wasije kuvunja screen.
Subiri mashabiki wakakabwe ndio mate akili
 
Huyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana.

Uto tumekuja kwenu kuwaonyesha siyo tu jinsi ya kwenda robo fainali ukiwa na mechi moja mkononi, lakini pia jinsi ya kuongoza kundi.

Msikose hili darasa huru, njoni na peni na daftari lenye mistari. Hamna haja ya kubeba calculator, hazihitajiki. Hamna sababu ya kukosa wakati tumewasevu gharama za usafiri. Supu zitakuwepo!

Naombeni kuwepo ulinzi wa kutosha ili hawa wanafunzi watukutu wasije kuvunja screen.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mwembe Yanga hii hii karibu na mtaa wa ngende huyo jamaa aliyetoa hilo wazo apewe maua yake,maana ndipo wanapostahili kucheza
.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mwembe Yanga hii hii karibu na mtaa wa ngende huyo jamaa aliyetoa hilo wazo apewe maua yake,maana ndipo wanapostahili kucheza
.
Kucheza tena?
 
Huyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana.

Uto tumekuja kwenu kuwaonyesha siyo tu jinsi ya kwenda robo fainali ukiwa na mechi moja mkononi, lakini pia jinsi ya kuongoza kundi.

Msikose hili darasa huru, njoni na peni na daftari lenye mistari. Hamna haja ya kubeba calculator, hazihitajiki. Hamna sababu ya kukosa wakati tumewasevu gharama za usafiri. Supu zitakuwepo!

Naombeni kuwepo ulinzi wa kutosha ili hawa wanafunzi watukutu wasije kuvunja screen.
Mnapotaka kulala Yanga ndio tumeamkia huko...tumekipiga fainali ewe kolo
 
Mnapotaka kulala Yanga ndio tumeamkia huko...tumekipiga fainali ewe kolo
1000042085.jpg

1993 ulikuwa katika mfumo gani, mafuta au?
 
Kuna tetesi MC Algier wamealikwa kuwepo Mwembeyanga. Hii pare so ya kukosa
 
Back
Top Bottom