Subiri mashabiki wakakabwe ndio mate akiliHuyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana.
Uto tumekuja kwenu kuwaonyesha siyo tu jinsi ya kwenda robo fainali ukiwa na mechi moja mkononi, lakini pia jinsi ya kuongoza kundi.
Msikose hili darasa huru, njoni na peni na daftari lenye mistari. Hamna haja ya kubeba calculator, hazihitajiki. Hamna sababu ya kukosa wakati tumewasevu gharama za usafiri. Supu zitakuwepo!
Naombeni kuwepo ulinzi wa kutosha ili hawa wanafunzi watukutu wasije kuvunja screen.
HahaaaaWameshalala sasa hivi. Hawana tena hamu. Mdomo umewaponza
Kama tupo kwenye lokidauni ya koronaMji kimyaa utadhani kuna maiti.
Ha ha ha nimejua leo kuwa Wana kelele kutuzidi.Pole yaoKama tupo kwenye lokidauni ya korona
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mwembe Yanga hii hii karibu na mtaa wa ngende huyo jamaa aliyetoa hilo wazo apewe maua yake,maana ndipo wanapostahili kuchezaHuyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana.
Uto tumekuja kwenu kuwaonyesha siyo tu jinsi ya kwenda robo fainali ukiwa na mechi moja mkononi, lakini pia jinsi ya kuongoza kundi.
Msikose hili darasa huru, njoni na peni na daftari lenye mistari. Hamna haja ya kubeba calculator, hazihitajiki. Hamna sababu ya kukosa wakati tumewasevu gharama za usafiri. Supu zitakuwepo!
Naombeni kuwepo ulinzi wa kutosha ili hawa wanafunzi watukutu wasije kuvunja screen.
Kucheza tena?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kama mwembe Yanga hii hii karibu na mtaa wa ngende huyo jamaa aliyetoa hilo wazo apewe maua yake,maana ndipo wanapostahili kucheza
.
Mnapotaka kulala Yanga ndio tumeamkia huko...tumekipiga fainali ewe koloHuyu jiniasi aliyefikiria kwenda kuweka screen ya mechi ya Simba vs Constantine uwanja wa Mwembeyanga ujiniasi wake ni levo za kina Newton na Einstein, tumlinde kwa wivu mkuu sana.
Uto tumekuja kwenu kuwaonyesha siyo tu jinsi ya kwenda robo fainali ukiwa na mechi moja mkononi, lakini pia jinsi ya kuongoza kundi.
Msikose hili darasa huru, njoni na peni na daftari lenye mistari. Hamna haja ya kubeba calculator, hazihitajiki. Hamna sababu ya kukosa wakati tumewasevu gharama za usafiri. Supu zitakuwepo!
Naombeni kuwepo ulinzi wa kutosha ili hawa wanafunzi watukutu wasije kuvunja screen.