Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,523
yes.......waislamu wanjaribu kutumia ujanja kulazimisha serikali kushindwa kuongoza...yaani serikali itende kwa matakwa yao......si unaona wanavyotoa vitisho kwa nyakati tofauti na kwa mambo tofauti?..wameshaitishia kutoipigia kura ccm km haitaweka sawa suala la mahakama ya kadhi wakati tz sio ccm tz ni sisi wananchi na serikali haina dini.......
Nashukuru ndugu umeliona hili.....wale wanaoshinda Madrasa al sul wangependa sana nchi isitawalike kwa misingi ya kisheria. Kazi yao nikuweka chuki na kulia lia bila sababu. Hakuna mahakama ya kadhi, sharia wala kujiunga na IOC ni kuvunja katiba ya nchi yetu isiyo na dini.