Aliyefuta wimbo wa Cheche ajulikana

Aliyefuta wimbo wa Cheche ajulikana

Sio kweli

Diamond anamwogopa kiba kuliko mtu yeyote yule

Kiba hana kashfa hizo!!! Acha utoto

Kiba sio wa kawaida, labda haujui nguvu yake

Vishungundo bana
Diamond amuogope kiba kwa kitu kipi?
 
ah ah zile washapiga ela wanasonga mbele...we upo bitter lazima utakua ESI au seven..mliweka mapenzi mbele badala ya kumshauri huyu kijana ajue kujibrand..jana anahojiwa clouds hayupo proffesional kabisa....yupo yupo tu na ana kiburi watakuja madogo watamwacha alipo
Walishamuacha ndiyo maana sasa yuko namba 3 hata mh Rais na serikali yake haiwezi kumuweka level moja na Mond wala konde boy
 
Back
Top Bottom