Aliyefutiwa Uraia Afrika Kusini, Chidimma ashika nafasi ya tatu kwenye Miss Universe Pre Arrival Hot Picks

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mrembo wa Nigeria aliyefutiwa Uraia nchini Afrika Kusini, Chidimma Vanessa Adetshina ameshika nafasi ya tatu Duniani kwenye Miss Universe Pre Arrival Hot Picks.

Soma, Pia: Afrika Kusini yamfutia uraia mrembo wa Nigeria, Chidimma Adetshina pamoja na Mama yake

Chidimma Adetshina, ambaye alikuwa na uraia wa nchi mbili za Afrika Kusini na Nigeria, ameshika nafasi hiyo kwenye orodha ya warembo wanaotarajiwa kufanya vizuri kabla ya mashindano ya Miss Universe kuanza rasmi.
Adetshina alikumbana na changamoto za ubaguzi alipokuwa akijaribu kushiriki katika mashindano ya urembo ya Miss South Africa. Hata hivyo, sasa ataiwakilisha Nigeria katika mashindano ya Miss Universe, akijivunia asili yake na kuleta ushindani mkubwa kwenye jukwaa la kimataifa.
 

Attachments

  • 1730704165151.png
    3.4 MB · Views: 8
wanaigeria wapo kila sehemu kwa Tanzania wamejazana masaki wanatafuna wake zenu tu. Pathetic
 
Baada ya mashindano wakina cr7 wanachagua wakuwapiga mashine

Haya mashindano hayanaga maana
 
Baada ya mashindano wakina cr7 wanachagua wakuwapiga mashine

Haya mashindano hayanaga maana
Hayana maana kwa vipi, wote wanaoyakubali ni wajinga ila wewe ndio una akili. Sisi tunaona ni mazuri labda wewe kama una imani zako ambazo sisi hazituhusu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…