mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Mwaka fulani nikiwa wilaya moja mkoani Iringa nikifanya kazi katika hospitali ya wilaya ya Kilolo katika idara ya TEHAMA.
Nikakutana na chotara wa kihehe na kizungu kwenye korido, wapo wengi sana Iringa sijui walitokea wapi, zile dizaini ya Hanspope.
Binti mdogo wa miaka 21, nikamtongoza akaniuliza umri nikapunguza miaka 10 ili asinione kizee na mwili wangu mdogo akakubali, akauliza kazi nikasema mimi ni daktari bingwa wa wanawake. Nikajifanya niko nae dini moja na dhehebu moja. Nikamwambia niko single kumbe nina mke na watoto wawili nimewaacha mjini.
Lengo langu nipite tu,
Ila shemeji yenu alinipa vitu adimu sana nikajikuta nimenogewa na yeye kanogewa anataka tuishi kama mke na mume.
Ule uongo ukawa kikwazo nikajua ili nimuweke ndani inabidi nimchane ukweli kuhusu mimi.
Nikamfanyia visa tukaachana.
Siku moja nikajiuliza, hivi ningekufa nikiwa nae akagundua ule uongo wangu siku ya mazishi yangu wakati wa kusoma historia ya marehemu ingekuwaje?
Uzuri sijafa mpaka leo bado naboresha historia yangu.
Mtaani kuna familia ilikuwa inadharaulika sana ,ila siku baba yqo alipofariki ikasomwa historia yake mzee kasoma makerere na Oxford watu wote wakaduwaa msibani,walikuwa wanamchukulia poa
R I P Mzee
We danganya kuhusu elimu, umri, marital status ila ukifa ukweli tutaujua, tutengeneze historia zetu sasa.
Nikakutana na chotara wa kihehe na kizungu kwenye korido, wapo wengi sana Iringa sijui walitokea wapi, zile dizaini ya Hanspope.
Binti mdogo wa miaka 21, nikamtongoza akaniuliza umri nikapunguza miaka 10 ili asinione kizee na mwili wangu mdogo akakubali, akauliza kazi nikasema mimi ni daktari bingwa wa wanawake. Nikajifanya niko nae dini moja na dhehebu moja. Nikamwambia niko single kumbe nina mke na watoto wawili nimewaacha mjini.
Lengo langu nipite tu,
Ila shemeji yenu alinipa vitu adimu sana nikajikuta nimenogewa na yeye kanogewa anataka tuishi kama mke na mume.
Ule uongo ukawa kikwazo nikajua ili nimuweke ndani inabidi nimchane ukweli kuhusu mimi.
Nikamfanyia visa tukaachana.
Siku moja nikajiuliza, hivi ningekufa nikiwa nae akagundua ule uongo wangu siku ya mazishi yangu wakati wa kusoma historia ya marehemu ingekuwaje?
Uzuri sijafa mpaka leo bado naboresha historia yangu.
Mtaani kuna familia ilikuwa inadharaulika sana ,ila siku baba yqo alipofariki ikasomwa historia yake mzee kasoma makerere na Oxford watu wote wakaduwaa msibani,walikuwa wanamchukulia poa
R I P Mzee
We danganya kuhusu elimu, umri, marital status ila ukifa ukweli tutaujua, tutengeneze historia zetu sasa.