Aliyehongwa ubalozi na kusema Katiba Mpya sio muhimu leo anasema hayupo tayari kuhongwa?

Kumbe hata Samia hawezi kumhonga sababu ni Rais
Ndomana nakushauri tumia akili,

Maana ulivyoandika, kwako kuhonga ni sawa, ila kuhongwa ndio tatizo!!

Rudi kuandika UPYA Ukiwa timamu!!

KATIBA ya Jamuhuri haikuandika kuwa vipo vyeo spesho vya kuhonga na kuhongwa!!
 
Ndomana nakushauri tumia akili,

Maana ulivyoandika, kwako kuhonga ni sawa, ila kuhongwa ndio tatizo!!

Rudi kuandika UPYA Ukiwa timamu!!

KATIBA ya Jamuhuri haikuandika kuwa vipo vyeo spesho vya kuhonga na kuhongwa!!
Siwezi kubishana na Msukule wa jiwe , maana kwao akili ni 0.0%
 
Siasa za bongo? Hata mama yetu awe makini tuu. Ipo siku inakuja hawa hawa anaodhani ni watu wake, watamgeuka tuu. Tena kwake itakuwa mbaya sana. Never put your faith in human beings.

Tena wale waliokuwa wakimshauri na kujifanya watu wa karibu sana. Wale sijui jina la siku hizi wanaitwaje vile, ambao mama akifurahi wao wanafurahi zaidi na akichukia, wanachukia zaidi. Pia wao wana kipawa cha kusifia tu.
 
Mimi ninafuraha sana kwa yote anayokutana nayo Slaa kwani ubaya unalipwa hapahapa duniani.

Slaa alituangusha vibaya sisi wapinzani kwa kukubali kupokea vipande 30 vya fedha kutoka kwa watesi wetu yaani ccm.
Na leo mnafurahia Dr kuvuliwa ubalozi na hao hao watesi wenu haha. Inachekesha kweli. Nyie mnachezeshwa ngoma wanavyotaka watesi wenu. Mara mbowe gaidi, mara maridhiano. Hamjielewi
 
Kama Jiwe alivyoingizwa chaka

Si mlimuua jamani, sasa mnamsimanga wa nini?
Ninyi endeleeni kula kulingana na urefu wa kamba zenu tu. Na uzuri mabaya na vituko vyenu vimefika mpaka kwa mwananchi wa kawaida kabisa.
 
Si mlimuua jamani, sasa mnamsimanga wa nini?
Ninyi endeleeni kula kulingana na urefu wa kamba zenu tu. Na uzuri mabaya na vituko vyenu vimefika mpaka kwa mwananchi wa kawaida kabisa.
Hizo ngonjera zenu sukuma gang
 
Na leo mnafurahia Dr kuvuliwa ubalozi na hao hao watesi wenu haha. Inachekesha kweli. Nyie mnachezeshwa ngoma wanavyotaka watesi wenu. Mara mbowe gaidi, mara maridhiano. Hamjielewi
Manyumbu wa lumumba huwaga hamna akili
 
Mnabaki tu kutukana basi. Siasa hamziwezi tena, mlilamba asali, sass mnalamba shubiri
Sukuma mtasugua sana mbao na mama Samia tunampa tena 10yrs
 
Enyi walafi wa pĺndi hii mtakula mpaka mtavimbiwa. Maana imeandikwa kwamba kila mmoja na ajiburudishe kwa urefu wa kamba yake.
Sukuma gang walijimilikisha rasilimali za watanzania
 
Wakati huwa ni mwalimu mzuri.
 
Useless Cannon forder waliopo kwenye payroll flani wanajulikana tu.
You are a disgrace to your family more or less to your country.
What a waste of .... !
Hamna tofauti na zombie, hasara tupu. Ndugu zako wangekuwa na akili au utu wangeweka matanga tu kwamba umeshapotea kama umekufa.
Living to satisfy your hungry belly.
 
CCM tumewasikia, tuachieni haya tutayamaliza wenyewe mnachofanya sasa ni UCHAWI!
 
Point ni kuwa Slaa hana hiyo integrity anayodai anayo, kusamehe anasamehewa ila tunajua hana huo msimamo na uadilifu anaojitapa kuwa nao
Mwizi hata ukimsamehe hutakiwi kumuamini tena
Haujajenga hoja
Try again🤣
 
Usimshambulie slaa,tuungane kushambulia mafisadi ya CCM
 
Macdm bana ,huyo aliyepokea 4b kwa ajili ya kuuz nafasi ya urais yeye ni mumgu mtu ni malaika sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…