Aliyehongwa ubalozi na kusema Katiba Mpya sio muhimu leo anasema hayupo tayari kuhongwa?

Aliyehongwa ubalozi na kusema Katiba Mpya sio muhimu leo anasema hayupo tayari kuhongwa?

Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani

Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)

Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni

Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya

Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida

Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza

Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia

Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
Umelipwa ngapi kumtungia uongo?
 
Uu
Slaa na Lipumba walitusaliti sana 2015 tuna iona ccm imekwisha mzuka kabisa hawa wasaliti wakawapa nguvu ya kutuibia kura
Slaa na Lipumba walikua na haki ya Kukaa pembeni 2015 baada ya Mbowe kuuza Chama.
Binafsi huwa namwona Mbowe kama Msaliti bora wa wakati wote wa Upinzani ni Mpumbavu kupindukia na Ukikomalia siasa sake utapata kilema huku yeye akijaza Tumbo.
Alichokosea Slaa ni kukubali kukaa Mezo moja na CCM akidhani anapoza machungu na si vinginevyo.
Mbowe popote Ulipo Maumivu ya Watanzania wenye Upinzaji wa Dhati yakuandame.
CCM mtupu yule Nyang'au Chawa Mkubwa.
 
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani

Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)

Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni

Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya

Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida

Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza

Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia

Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
Anatapatapa na kuweweseka,huyu aliwauza Chadema Kwa bei ya kuwa Balozi 😂😂😂😂
 
Nina furaha isiyo kifani kwa yanayo mkuta Slaa
Mimi ninachoamini hiki kinachomkuta Slaa ni Move ya CCM na kitengo kumtengeneza Slaa ili aaminike tena kwa wapinzani halafu AWAVURUGE TENA UCHAGUZI UJAO WA 2025.

Mtaikumbuka hii comment yangu
 
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani

Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)

Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni

Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya

Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida

Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza

Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia

Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu
True! Huyo Babu ni hypocrite
 
Uu

Slaa na Lipumba walikua na haki ya Kukaa pembeni 2015 baada ya Mbowe kuuza Chama.
Binafsi huwa namwona Mbowe kama Msaliti bora wa wakati wote wa Upinzani ni Mpumbavu kupindukia na Ukikomalia siasa sake utapata kilema huku yeye akijaza Tumbo.
Alichokosea Slaa ni kukubali kukaa Mezo moja na CCM akidhani anapoza machungu na si vinginevyo.
Mbowe popote Ulipo Maumivu ya Watanzania wenye Upinzaji wa Dhati yakuandame.
CCM mtupu yule Nyang'au Chawa Mkubwa.
Duh!...
 
Mimi ninachoamini hiki kinachomkuta Slaa ni Move ya CCM na kitengo kumtengeneza Slaa ili aaminike tena kwa wapinzani halafu AWAVURUGE TENA UCHAGUZI UJAO WA 2025.

Mtaikumbuka hii comment yangu
Hakuna mpinzani atamuamini Slaa tena
 
Slaa na Lipumba walitusaliti sana 2015 tuna iona ccm imekwisha mzuka kabisa hawa wasaliti wakawapa nguvu ya kutuibia kura zetu.
Yaani afadhali hata ya Lipumba kuliko Slaa... Kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na Lissu kupigwa Risasi Lipumba aliongea kulaani japo hakuwa vocal sana, ila Slaa hapana
 
Matako yake,ata kama wangepita naye ingekuwa poa tu,mazafaka alituuza 2020

Pumbavu zake
Slaa alitufanyia unyama sana wapinzani.

Kamwe hawezi kupata huruma yoyote kutoka kwa wapinzani wa kweli hapa Tanzania.

Ashukuru Mungu wakati anakamatwa juzi aliunganishwa na kina Mdude vinginevyo watu wangekaa kimya tu.
 
Slaa alitufanyia unyama sana wapinzani.

Kamwe hawezi kupata huruma yoyote kutoka kwa wapinzani wa kweli hapa Tanzania.

Ashukuru Mungu wakati anakamatwa juzi aliunganishwa na kina Mdude vinginevyo watu wangekaa kimya tu.
Team Lowasa alitupa wakati mgumu sana kupata zile halmashauri,majimbo na Kata zote zile

Akafie mbele
 
Shavu gani wewe..Dkt. Slaa ameanza siasa jana? mangapi amepitia yaliyokuwa mazito zaidi kuliko hili la sasa lkn bado alikataa kuhongwa..huo ubalozi ungemuuliza aliyemteua kama ilikuwa ni hongo au la..msimamo wa Dkt. Slaa huwezi kuupima kwa ishu ya ubalozi..ukiamini hivyo utakuwa mpumbavu!
Mpumbavu ni wewe unayemuamini huyo mwanasiasa kigeugeu pamoja na uthibitisho wa ukigeugeu wake

Hata JK angempa cheo mbona angefunga tu domo lake
 
Atubuye hussmehews.

Shetani yeye husshia kwenye kushtaki shtaki

Kama aliona kuwa alikosea, basi haki ya kujisahihisha anayo.

Wana wa uasi walimhukumu hadi Mwana wa Mungu
Point ni kuwa Slaa hana hiyo integrity anayodai anayo, kusamehe anasamehewa ila tunajua hana huo msimamo na uadilifu anaojitapa kuwa nao
Mwizi hata ukimsamehe hutakiwi kumuamini tena
 
Ni ujinga na wendawazimu kuona na kushikilia mnayosema madhaifu ya Dkt. Slaa na kutothamini mchango wake wa mambo mazuri kwa taifa toka aingie CHADEMA..
Hata yakiwepo hayo madhaifu hayawezi kulinganishwa na mabaya ya viongozi wa CCM na chama chao kwa nchi!
Slaa yupo huru kukosoa lakini asijitape kuwa na msimamo wa uadilifu, anahongeka vizuri tu
 
Huyu Dk. Slaa kipindi cha JPM alipokuwa balozi alibadilika sana na kukana kila kitu alichokuwa akikipigia debe alipokuwa upinzani

Kwanza alidai mikutano ya hadhara ni sahihi kufungiwa sababu uchaguzi umeisha(akiwa CDM alikuwa akifanya mikutano hiyo sana)

Pili alidai serikali ya Magufuli kufungia bunge ilikuwa ni sahihi sababu wapinzani huwa wanapotosha vitu vingi bungeni

Tatu alisema katiba mpya sio kitu cha muhimu na hakifai serikali kupoteza muda na hela kwa ajili ya katiba mpya

Nne alisema Tundu Lisu kupigwa risasi bungeni ni jambo la kawaida

Tano alisema Freeman Mbowe kupewa kesi ya ugaidi iliyokuwa ni halali licha ya kutokuwepo na ushahidi wowote wa maana, na waliokuwa wakipaza sauti ili aachiwe walikuwa wakimkwaza

Slaa alisema hivyo baada ya kuteuliwa balozi na baadae hata aliporudishwa alikuwa akitamka vitu vya hovyo akidhani atapata shavu serikali ya Samia

Yaani japo Lipumba ni kigeugeu ila angalau ana ubinadamu afadhali hata kuliko Slaa... Kesi ya ugaidi dhidi ya Mbowe na Lissu kupigwa Risasi Lipumba aliongea kulaani japo hakuwa vocal sana, ila Slaa aliunga mkono

Slaa anahongwa na anahongeka vizuri tu

Hili halihusiani na suala la bandari, Slaa ana haki zote za kukosoa Mkataba wa Bandari ila sio kutuambia kuwa hawezi kuhongwa
Uwe na akili basi,

Angejua ni Hongo asingekubali kuupoteza ubalozi angeufyata.

Rais ni wa Watanzania, anapoteua watu Si Hongo ni kikatiba na SHERIA.
 
Uu

Slaa na Lipumba walikua na haki ya Kukaa pembeni 2015 baada ya Mbowe kuuza Chama.
Binafsi huwa namwona Mbowe kama Msaliti bora wa wakati wote wa Upinzani ni Mpumbavu kupindukia na Ukikomalia siasa sake utapata kilema huku yeye akijaza Tumbo.
Alichokosea Slaa ni kukubali kukaa Mezo moja na CCM akidhani anapoza machungu na si vinginevyo.
Mbowe popote Ulipo Maumivu ya Watanzania wenye Upinzaji wa Dhati yakuandame.
CCM mtupu yule Nyang'au Chawa Mkubwa.
Slaa alikuwa na haki ya kuhama chama, lakini hana uadilifu wowote
Kusema tundu Lissu kupigwa risasi ni jambo la kawaida ulikuwa ni upumbavu mkubwa sana

Kusema Mbowe kutungiwa kesi ya ugaidi ni sawa huku akijua kabisa mfumo wetu wa serikali kubambikizia wapinzani kesi pia ilikuwa ni umalaya mkubwa wa kisiasa

Kuunga mkono mikutano ya hadhara na bunge kufungiwa huku mikutano hiyo na Bunge ndivyo vilivyomkuza

Mimi siungi mkono Chadema kwenye siasa zao, ila wakitendewa visivyo na CCM ni lazima niseme
 
Uwe na akili basi,

Angejua ni Hongo asingekubali kuupoteza ubalozi angeufyata.

Rais ni wa Watanzania, anapoteua watu Si Hongo ni kikatiba na SHERIA.
Kumbe hata Samia hawezi kumhonga sababu ni Rais
 
Back
Top Bottom