Corluka Neven
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 317
- 358
Hamis akiwa Segerea ameandila Kitabu Kuhusu tukio lake la mauaji ya Mke wake na anatamani Kila Mwanaume akisome hiko Kitabu.
1.Hamis baada ya Mke wake kukata Roho pale kwenye Ngazi majira ya Saa 10 Usiku ndiyo akaanza Kujuta na Kujiona akiandamwa na Kesi ya Mauaji sasa akawa anataka kujinasua na Kesi
2.Cha Kwanza Hamis aliwaza kuchimba shimo kumfukia akagundua itakuja kujulikana ndiyo akapata wazo la Kumteketeza kwa Moto ili kukwepa Ushahidi
3.Kwa Maelekezo yake chini alipanga Pochi za Mke wake ili akiwa anaungua isisikike harufu
ya Nyama bali Plastic na Juu akapanga viatu vya Mke wake pamoja na Nguo chache kisha akamzungushia Mkaa
3.Kwa Hamis pana fensi na eneo Kubwa kiasi cha Majirani hawakugundua chanzo cha moto ila waliona Mosi na harufu ya Plastic
4.Bodaboda alitumwa gunia za Mkaa kama nne na zote alikuwa anashushia nje ya geti kisha Hamis anaziingiza Mwenyewe ndani
5.Hamis alifanikiwa kumteketeza Mke wake kwa Moto na kwa simulizi yake sehemu za Mwisho Kuungua Mke wake zilizomsumbua ni Matiti na sehemu za siri, akaongeza Sana Mkaa hadi kufanikiwa kumalizana nazo.
6.Katika Kuondoa Ushahidi sasa Hamis akakusanya Majivu na udongo mwuusi ulio ungua na moto pale alipomchoma mke wake kisha akapack katika Viroba
7.kisha akasafirisha mabaki ya Majivu na Udongo akaenda akutupa Shambani Kwake Kibiti katika Mto ,majivu ya udongo vikaondoka na maji yeye akarudi nyumbani
8.Baada ya Usafi ,akaenda Polisi Kigamboni Kuriport Mke wake amepotea na Kwamba ajarudi tangu Jana alipotoka kwenda Matembezini.
9.Jeshi la Polisi na Hamis wakaaanza Kushirikiana kumtafuta Naomi
10.Hamis akatamgqza Dau la Millioni 5 Kwa Mtu yeyote atakayekuwa amemuona Mke wake
11.Hamis akabandika Picha za Mke wake Kigamboni yote na Posta upande wa Feri zikaenea Kama Naomi anagombea Ubunge wa Kigamboni
1.Hamis baada ya Mke wake kukata Roho pale kwenye Ngazi majira ya Saa 10 Usiku ndiyo akaanza Kujuta na Kujiona akiandamwa na Kesi ya Mauaji sasa akawa anataka kujinasua na Kesi
2.Cha Kwanza Hamis aliwaza kuchimba shimo kumfukia akagundua itakuja kujulikana ndiyo akapata wazo la Kumteketeza kwa Moto ili kukwepa Ushahidi
3.Kwa Maelekezo yake chini alipanga Pochi za Mke wake ili akiwa anaungua isisikike harufu
ya Nyama bali Plastic na Juu akapanga viatu vya Mke wake pamoja na Nguo chache kisha akamzungushia Mkaa
3.Kwa Hamis pana fensi na eneo Kubwa kiasi cha Majirani hawakugundua chanzo cha moto ila waliona Mosi na harufu ya Plastic
4.Bodaboda alitumwa gunia za Mkaa kama nne na zote alikuwa anashushia nje ya geti kisha Hamis anaziingiza Mwenyewe ndani
5.Hamis alifanikiwa kumteketeza Mke wake kwa Moto na kwa simulizi yake sehemu za Mwisho Kuungua Mke wake zilizomsumbua ni Matiti na sehemu za siri, akaongeza Sana Mkaa hadi kufanikiwa kumalizana nazo.
6.Katika Kuondoa Ushahidi sasa Hamis akakusanya Majivu na udongo mwuusi ulio ungua na moto pale alipomchoma mke wake kisha akapack katika Viroba
7.kisha akasafirisha mabaki ya Majivu na Udongo akaenda akutupa Shambani Kwake Kibiti katika Mto ,majivu ya udongo vikaondoka na maji yeye akarudi nyumbani
8.Baada ya Usafi ,akaenda Polisi Kigamboni Kuriport Mke wake amepotea na Kwamba ajarudi tangu Jana alipotoka kwenda Matembezini.
9.Jeshi la Polisi na Hamis wakaaanza Kushirikiana kumtafuta Naomi
10.Hamis akatamgqza Dau la Millioni 5 Kwa Mtu yeyote atakayekuwa amemuona Mke wake
11.Hamis akabandika Picha za Mke wake Kigamboni yote na Posta upande wa Feri zikaenea Kama Naomi anagombea Ubunge wa Kigamboni