mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Hata hii ni wivu wa mapenzindio umepelekea kifOBongo movie wao wanatoa muvi za mapenzi tuu.. mi wananikasirisha ujue!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata hii ni wivu wa mapenzindio umepelekea kifOBongo movie wao wanatoa muvi za mapenzi tuu.. mi wananikasirisha ujue!!!
Alichukua simu ya mke wake akajitumia message kuwa anasafiri nje ya nchi...Kwa hiyo nini kilisababisha akajulikana baada ya kupoteza ushahidi?
Mkuu naomba utusamehe sio mda tutafanya kweli...Bongo movie wao wanatoa muvi za mapenzi tuu.. mi wananikasirisha ujue!!!
Huyu mwamba kilicho mkamatisha ni simu alichukua simu ya mke wake akajitumia sms polisi katika kuchunguza kwao wakagundua mawasiliano ya mwisho ya mwanamke na mume wake yalifanyika sehemu moja jamaa akajikuta hatianiKwa hiyo nini kilisababisha akajulikana baada ya kupoteza ushahidi?
Inasemekana alimsukuma akajigonga kichwa damu zikavia kichwani.Alimuuaje je Alimchoma kisu, Alimnyonga, alimpiga na Rungu, alimuwekea sumu, Au kipigo tu kikamuua au ilikuwaje?
Duuh walimdaka utamuHuyu mwamba kilicho mkamatisha ni simu alichukua simu ya mke wake akajitumia sms polisi katika kuchunguza kwao wakagundua mawasiliano ya mwisho ya mwanamke na mume wake yalifanyika sehemu moja jamaa akajikuta hatiani
Siku ukiambiwa Polisi wanakutafuta ndio utajuwa wanafanyaje kazi.Dah... Eenh. Endelea sasa polisi walijuaje?
Yeah,nadhaniHuenda wapo wengine kwa namna hizo hizo,hajawahi kamatwa
Ndiyo ameshaua. Na ataishi maisha ya majuto mpaka siku yake na yeye ya kufa.Hamis akiwa Segerea ameandila Kitabu Kuhusu tukio lake la mauaji ya Mke wake na anatamani Kila Mwanaume akisome hiko Kitabu.
1.Hamis baada ya Mke wake kukata Roho pale kwenye Ngazi majira ya Saa 10 Usiku ndiyo akaanza Kujuta na Kujiona akiandamwa na Kesi ya Mauaji sasa akawa anataka kujinasua na Kesi
2.Cha Kwanza Hamis aliwaza kuchimba shimo kumfukia akagundua itakuja kujulikana ndiyo akapata wazo la Kumteketeza kwa Moto ili kukwepa Ushahidi
3.Kwa Maelekezo yake chini alipanga Pochi za Mke wake ili akiwa anaungua isisikike harufu
ya Nyama bali Plastic na Juu akapanga viatu vya Mke wake pamoja na Nguo chache kisha akamzungushia Mkaa
3.Kwa Hamis pana fensi na eneo Kubwa kiasi cha Majirani hawakugundua chanzo cha moto ila waliona Mosi na harufu ya Plastic
4.Bodaboda alitumwa gunia za Mkaa kama nne na zote alikuwa anashushia nje ya geti kisha Hamis anaziingiza Mwenyewe ndani
5.Hamis alifanikiwa kumteketeza Mke wake kwa Moto na kwa simulizi yake sehemu za Mwisho Kuungua Mke wake zilizomsumbua ni Matiti na sehemu za siri, akaongeza Sana Mkaa hadi kufanikiwa kumalizana nazo.
6.Katika Kuondoa Ushahidi sasa Hamis akakusanya Majivu na udongo mwuusi ulio ungua na moto pale alipomchoma mke wake kisha akapack katika Viroba
7.kisha akasafirisha mabaki ya Majivu na Udongo akaenda akutupa Shambani Kwake Kibiti katika Mto ,majivu ya udongo vikaondoka na maji yeye akarudi nyumbani
8.Baada ya Usafi ,akaenda Polisi Kigamboni Kuriport Mke wake amepotea na Kwamba ajarudi tangu Jana alipotoka kwenda Matembezini.
9.Jeshi la Polisi na Hamis wakaaanza Kushirikiana kumtafuta Naomi
10.Hamis akatamgqza Dau la Millioni 5 Kwa Mtu yeyote atakayekuwa amemuona Mke wake
11.Hamis akabandika Picha za Mke wake Kigamboni yote na Posta upande wa Feri zikaenea Kama Naomi anagombea Ubunge wa Kigamboni
Desperate times call for desperate measuresHajatuambia nini kilimsibu hadi kukatisha uhai wa mkewe? Ila huyu mwamba ni katili haswa.
Ukiua mtu ni kwa sababu tu wamekulinda lakini lile wenge lazima likukamatisha hata kama hakuma aliyekuona.Pamoja na kufanya yote hayo intelligencia ikamnasa..kuna lakujifunza kupitia mkasa huu.
Ilikuwa bahat mbaya katika purukushaniHuyo alikuwa mafia tu na huenda hilo halikuwa mara ya kwanza.
Sasa Mnamwelewa Andiko la Kabendera.
Huwezi kuua mtu ukabaki kama ulivyo zamani.
Watakupa pesa nyingi uende Paris na Dubai kutuliza mawazo lakini wapi.
You are right.Mwanamke usipomdhibiti kipindi cha uchumba hutamuweza tena