Wewe ni {}set. Sisi kwetu ni kupata ujumbe, hakika wewe ni kilazaAcknowledge aliye andika bandiko hili x yule mchadema mkiti wa mkoa wa Shinyanga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni {}set. Sisi kwetu ni kupata ujumbe, hakika wewe ni kilazaAcknowledge aliye andika bandiko hili x yule mchadema mkiti wa mkoa wa Shinyanga
Kweli mdau .. unajua sana. Hapo aliacha code wazi sana.Alifanya kosa la kitoto.
Baada ya kuua akachukua simu ya mkewe akajitumia meseji as if mkewe ndiyo amemtext.
Meseji Aliandika "mume wangu nasafiri nje ya nchi" alafu akaandika "naomba uwaangalie watoto".
Hii kwenye uchunguzi ilimtoa mchezoni mana kwenye upelelezi ilionenkana simu zote mbili zilitumia mnara mmoja wa mawasiliano,means mtuma meseji na mtumiwa walikuwa the same location.
Swali likabaki kwa nini iwe hivyo?
Mwamba alikosa elimu ya criminology akadakwa kitoto.
Ujumbe murwa kbsa huuMwanamke usipomdhibiti kipindi cha uchumba hutamuweza tena
Inasikitisha sana kwa kweliNawaza ndugu wa mwanamke wana hali gani baada ya kujua namna ndugu yao alivyofariki na vile mwili ulichofanywa!!
Hawakuwa na watoto?
Hakika omba usiingie kwenye 18 Zao kukutafutaSiku ukiambiwa Polisi wanakutafuta ndio utajuwa wanafanyaje kazi.
Sasa majivu yaliyopelekwa mahakamani kama ushahidi waliyatoa wapi?Hamis akiwa Segerea ameandila Kitabu Kuhusu tukio lake la mauaji ya Mke wake na anatamani Kila Mwanaume akisome hiko Kitabu.
1.Hamis baada ya Mke wake kukata Roho pale kwenye Ngazi majira ya Saa 10 Usiku ndiyo akaanza Kujuta na Kujiona akiandamwa na Kesi ya Mauaji sasa akawa anataka kujinasua na Kesi
2.Cha Kwanza Hamis aliwaza kuchimba shimo kumfukia akagundua itakuja kujulikana ndiyo akapata wazo la Kumteketeza kwa Moto ili kukwepa Ushahidi
3.Kwa Maelekezo yake chini alipanga Pochi za Mke wake ili akiwa anaungua isisikike harufu
ya Nyama bali Plastic na Juu akapanga viatu vya Mke wake pamoja na Nguo chache kisha akamzungushia Mkaa
3.Kwa Hamis pana fensi na eneo Kubwa kiasi cha Majirani hawakugundua chanzo cha moto ila waliona Mosi na harufu ya Plastic
4.Bodaboda alitumwa gunia za Mkaa kama nne na zote alikuwa anashushia nje ya geti kisha Hamis anaziingiza Mwenyewe ndani
5.Hamis alifanikiwa kumteketeza Mke wake kwa Moto na kwa simulizi yake sehemu za Mwisho Kuungua Mke wake zilizomsumbua ni Matiti na sehemu za siri, akaongeza Sana Mkaa hadi kufanikiwa kumalizana nazo.
6.Katika Kuondoa Ushahidi sasa Hamis akakusanya Majivu na udongo mwuusi ulio ungua na moto pale alipomchoma mke wake kisha akapack katika Viroba
7.kisha akasafirisha mabaki ya Majivu na Udongo akaenda akutupa Shambani Kwake Kibiti katika Mto ,majivu ya udongo vikaondoka na maji yeye akarudi nyumbani
8.Baada ya Usafi ,akaenda Polisi Kigamboni Kuriport Mke wake amepotea na Kwamba ajarudi tangu Jana alipotoka kwenda Matembezini.
9.Jeshi la Polisi na Hamis wakaaanza Kushirikiana kumtafuta Naomi
10.Hamis akatamgqza Dau la Millioni 5 Kwa Mtu yeyote atakayekuwa amemuona Mke wake
11.Hamis akabandika Picha za Mke wake Kigamboni yote na Posta upande wa Feri zikaenea Kama Naomi anagombea Ubunge wa Kigamboni
Hakuwa muuaji ugomvi ulipelekea kifo. Hofu ikammeza mtu makini au mpelelezi aliyeiva rahisi sana kusoma hisia au viashiria.Dah... Eenh. Endelea sasa polisi walijuaje?
Kosa kubwa kama la mauwaji lazima at some point utaacha some foot prints tu; no matter how trivial they might be, skilled investigators wanapita hapo hapo.Alifanya kosa la kitoto.
Baada ya kuua akachukua simu ya mkewe akajitumia meseji as if mkewe ndiyo amemtext.
Meseji Aliandika "mume wangu nasafiri nje ya nchi" alafu akaandika "naomba uwaangalie watoto".
Hii kwenye uchunguzi ilimtoa mchezoni mana kwenye upelelezi ilionenkana simu zote mbili zilitumia mnara mmoja wa mawasiliano,means mtuma meseji na mtumiwa walikuwa the same location.
Swali likabaki kwa nini iwe hivyo?
Mwamba alikosa elimu ya criminology akadakwa kitoto.
Wasomi duniani kote wana-acknowledge wanapotumia kazi au sehemu ya kazi za watu wengine. Vilaza ndio hawafanyi hivyo.Wewe ni {}set. Sisi kwetu ni kupata ujumbe, hakika wewe ni kilaza
Kisa cha OCD Bageni na mauwaji ya Mabwe Pande. Waliua watu wote wanne wakilenga kuhakikisha hakuna anayebaki ili kupoteza ushahidi. Hakuna aliyewaona lkn utashangaa namna gani siri ilifichuka.Uko sahihi. Ukisoma hadithi moja ya Edgar Alan poe inaitwa the tells tale's heart, ukiua kuna wenge linakupata as if kuchanganyikiwq hivi. Hapo ndipo unapoingia kwenye mtego
Hizi ndio zile msg unaambiwa Marehemu aliandika Wosia " Mke wangu asilaumiwe wala ndugu zangu, nimechukua maamuzi baada ya kuona madeni yananiandama"Meseji Aliandika "mume wangu nasafiri nje ya nchi" alafu akaandika "naomba uwaangalie watoto".
😀😀😀unataka kuaminisha watu kitu gani?Si mnawaitaga Policcm? Omba wasiwe wanakutafuta.
Donge lisingekutoka leo bila kutia michambo, ok now go stab a middle finger between your catapult back and suck itWewe ni {}set. Sisi kwetu ni kupata ujumbe, hakika wewe ni kilaza
Sijakuelewa.Si wakikuwa wanaishi pamoja na bila maelewano. Kwa nini isiwe sio kesi
Lile wenge braza usiombe😀😀😀Alifanya kosa la kitoto.
Baada ya kuua akachukua simu ya mkewe akajitumia meseji as if mkewe ndiyo amemtext.
Meseji Aliandika "mume wangu nasafiri nje ya nchi" alafu akaandika "naomba uwaangalie watoto".
Hii kwenye uchunguzi ilimtoa mchezoni mana kwenye upelelezi ilionenkana simu zote mbili zilitumia mnara mmoja wa mawasiliano,means mtuma meseji na mtumiwa walikuwa the same location.
Swali likabaki kwa nini iwe hivyo?
Mwamba alikosa elimu ya criminology akadakwa kitoto.
Jamaa kaongea hoja nzito sana.Ujumbe murwa kbsa huu