Aliyehukumiwa kunyongwa

Aliyehukumiwa kunyongwa

Alifanya kosa la kitoto.

Baada ya kuua akachukua simu ya mkewe akajitumia meseji as if mkewe ndiyo amemtext.

Meseji Aliandika "mume wangu nasafiri nje ya nchi" alafu akaandika "naomba uwaangalie watoto".

Hii kwenye uchunguzi ilimtoa mchezoni mana kwenye upelelezi ilionenkana simu zote mbili zilitumia mnara mmoja wa mawasiliano,means mtuma meseji na mtumiwa walikuwa the same location.

Swali likabaki kwa nini iwe hivyo?


Mwamba alikosa elimu ya criminology akadakwa kitoto.
Kweli mdau .. unajua sana. Hapo aliacha code wazi sana.
 
Ila Hamisi ni katili kupita maelezo.
Kwa jinsi alivyomteketeza make wake Hadi akageuka majivu itoshe kusema jamaa ni katili kwa kiwango cha SGR
 
Hamis akiwa Segerea ameandila Kitabu Kuhusu tukio lake la mauaji ya Mke wake na anatamani Kila Mwanaume akisome hiko Kitabu.

1.Hamis baada ya Mke wake kukata Roho pale kwenye Ngazi majira ya Saa 10 Usiku ndiyo akaanza Kujuta na Kujiona akiandamwa na Kesi ya Mauaji sasa akawa anataka kujinasua na Kesi

2.Cha Kwanza Hamis aliwaza kuchimba shimo kumfukia akagundua itakuja kujulikana ndiyo akapata wazo la Kumteketeza kwa Moto ili kukwepa Ushahidi

3.Kwa Maelekezo yake chini alipanga Pochi za Mke wake ili akiwa anaungua isisikike harufu
ya Nyama bali Plastic na Juu akapanga viatu vya Mke wake pamoja na Nguo chache kisha akamzungushia Mkaa

3.Kwa Hamis pana fensi na eneo Kubwa kiasi cha Majirani hawakugundua chanzo cha moto ila waliona Mosi na harufu ya Plastic

4.Bodaboda alitumwa gunia za Mkaa kama nne na zote alikuwa anashushia nje ya geti kisha Hamis anaziingiza Mwenyewe ndani

5.Hamis alifanikiwa kumteketeza Mke wake kwa Moto na kwa simulizi yake sehemu za Mwisho Kuungua Mke wake zilizomsumbua ni Matiti na sehemu za siri, akaongeza Sana Mkaa hadi kufanikiwa kumalizana nazo.

6.Katika Kuondoa Ushahidi sasa Hamis akakusanya Majivu na udongo mwuusi ulio ungua na moto pale alipomchoma mke wake kisha akapack katika Viroba

7.kisha akasafirisha mabaki ya Majivu na Udongo akaenda akutupa Shambani Kwake Kibiti katika Mto ,majivu ya udongo vikaondoka na maji yeye akarudi nyumbani

8.Baada ya Usafi ,akaenda Polisi Kigamboni Kuriport Mke wake amepotea na Kwamba ajarudi tangu Jana alipotoka kwenda Matembezini.

9.Jeshi la Polisi na Hamis wakaaanza Kushirikiana kumtafuta Naomi

10.Hamis akatamgqza Dau la Millioni 5 Kwa Mtu yeyote atakayekuwa amemuona Mke wake

11.Hamis akabandika Picha za Mke wake Kigamboni yote na Posta upande wa Feri zikaenea Kama Naomi anagombea Ubunge wa Kigamboni
Sasa majivu yaliyopelekwa mahakamani kama ushahidi waliyatoa wapi?
 
Alifanya kosa la kitoto.

Baada ya kuua akachukua simu ya mkewe akajitumia meseji as if mkewe ndiyo amemtext.

Meseji Aliandika "mume wangu nasafiri nje ya nchi" alafu akaandika "naomba uwaangalie watoto".

Hii kwenye uchunguzi ilimtoa mchezoni mana kwenye upelelezi ilionenkana simu zote mbili zilitumia mnara mmoja wa mawasiliano,means mtuma meseji na mtumiwa walikuwa the same location.

Swali likabaki kwa nini iwe hivyo?


Mwamba alikosa elimu ya criminology akadakwa kitoto.
Kosa kubwa kama la mauwaji lazima at some point utaacha some foot prints tu; no matter how trivial they might be, skilled investigators wanapita hapo hapo.

Bila hata simu kucheat safari ya mkewe; hata kwa mahojiano ya mdomo utetezi wa safari bado ungeshtukiwa kwa sababu safari ya nje ni jambo kubwa lazima angeaga ndugu, jamaa na marafiki.

Ok, may be alikuwa na malicious intent so asingeaga, border zote zingepekuliwa. May be alitorokea kwa mwanaume na yuko humu humu nchini give it time isingepita muda biometrics zake au national id yake ingenasa mahali akipata huduma else after a year or so almost concluded dead.

Swali sasa linakuja; nani alimuua huku Hamisi akifuatiliwa nyendo na communications zake zote kwa karibu. Angedakwa tu!
 
Uko sahihi. Ukisoma hadithi moja ya Edgar Alan poe inaitwa the tells tale's heart, ukiua kuna wenge linakupata as if kuchanganyikiwq hivi. Hapo ndipo unapoingia kwenye mtego
Kisa cha OCD Bageni na mauwaji ya Mabwe Pande. Waliua watu wote wanne wakilenga kuhakikisha hakuna anayebaki ili kupoteza ushahidi. Hakuna aliyewaona lkn utashangaa namna gani siri ilifichuka.
 
Alifanya kosa la kitoto.

Baada ya kuua akachukua simu ya mkewe akajitumia meseji as if mkewe ndiyo amemtext.

Meseji Aliandika "mume wangu nasafiri nje ya nchi" alafu akaandika "naomba uwaangalie watoto".

Hii kwenye uchunguzi ilimtoa mchezoni mana kwenye upelelezi ilionenkana simu zote mbili zilitumia mnara mmoja wa mawasiliano,means mtuma meseji na mtumiwa walikuwa the same location.

Swali likabaki kwa nini iwe hivyo?


Mwamba alikosa elimu ya criminology akadakwa kitoto.
Lile wenge braza usiombe😀😀😀
 
Back
Top Bottom