Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi wanajua kazi yao sema nao huwa wanazinguliwa na wanasiasa. Ila wakisema watumie weledi kudili na jambo fulani ni kwere kwerekweche.😀😀😀unataka kuaminisha watu kitu gani?
Yeah. Premeditated hii.1 degree murder
Kama walikuwa wanaishi pamoja bila maelewano huku wakigawana vyumba, kwa nini kuonekana simu ya mke kutumia mtandao mmoja iwe issue? Maana angeweza kutuma tu hata akiwa chumbani kwakeSijakuelewa.
Nifafanulie vizuri hoja yako nielewe na kuweza kukujibu.
7bu shemu hizo kuna wese jingi.Kaaziii kweli kweli....
So kumbe nyonyo haziungui kwa urahisi...
Na kipochi manyoya why hakijaungua mapema....
Kachukue maiti usiyo na ndugu ufanye uchunguzi mkuu..tukuchome moto kwanza na sisi tujue kwa nn matiti na kipochi nyoya vilichelewa kuungua
Yale ya KanumbaInasemekana alimsukuma akajigonga kichwa damu zikavia kichwani.
HUyu kosa kubwa alilofanya ni kufuta ushahidi hata kama aliua kwa bahati mbaya.
Swali lako ni dhaifu sana mkuu.Kama walikuwa wanaishi pamoja bila maelewano huku wakigawana vyumba, kwa nini kuonekana simu ya mke kutumia mtandao mmoja iwe issue? Maana angeweza kutuma tu hata akiwa chumbani kwake
Mwanamke usipomdhibiti kipindi cha uchumba hutamuweza tena
Wala hawakushangaa baada ya kusikia mtoto wao amefariki.
Hawa wawili walikuwa Wana tabia ya ugomvi usioisha na wamepelekana sana kwa wazazi wa mwanamke kusuluhisha hadi wakachokwa.
Zamani kabla ya hizi vita walikuwa wanaishi maisha mazuri sana na ya furaha. Shida ilikuja jamaa alipojipata akamfungulia Biashara ya duka la sawa mkewe na yeye kudeal na inshu za kununua maneno na kuuza kama viwanja.
Maisha yakazidi kuwa mazuri,wakajenga na majumba ya maana,mwanamke Biashara ikazidi kustawi na kupiga Hela zaidi na zaidi....Tatizo likaanzia hapo..financial freedom ya mwanamke akaanza kuleta dharau na ndiyo mwanzo wa maugomvi yao.
Hali ikazidi kuwa mbaya,vikao vya familia haviishi. Jamaa akahama chumba akahamia ghrofani..Hadi hapa umepata picha kwa nini kumetoea kifo cha aina hii.
Pale mnapojipata kimaisha mkafikia hatua ikawa ngumu kuachana kwa sababu ya kuogopa kugawana Mali. Mwanaume hatua hii anakuwa na stress za kiwango cha SGR.
Jamaa alipoenda kureport kwa wazazi wa Binti mtoto wao haonekani wazazi walie da chang'ombe kureport na jamaa alifungua jarada kigamboni.
Chang'ombe na kigamboni wakawa wanafatilia inshu Moja bila kujuana.
OKW BOBAN SUNZU
Ukiona mmepata mali alafu ndoa inavurugika nyuma ya mali kunadhuluma na mauwaji hamuwezi maliza salama hiyo ndio KarmaWala hawakushangaa baada ya kusikia mtoto wao amefariki.
Hawa wawili walikuwa Wana tabia ya ugomvi usioisha na wamepelekana sana kwa wazazi wa mwanamke kusuluhisha hadi wakachokwa.
Zamani kabla ya hizi vita walikuwa wanaishi maisha mazuri sana na ya furaha. Shida ilikuja jamaa alipojipata akamfungulia Biashara ya duka la sawa mkewe na yeye kudeal na inshu za kununua maneno na kuuza kama viwanja.
Maisha yakazidi kuwa mazuri,wakajenga na majumba ya maana,mwanamke Biashara ikazidi kustawi na kupiga Hela zaidi na zaidi....Tatizo likaanzia hapo..financial freedom ya mwanamke akaanza kuleta dharau na ndiyo mwanzo wa maugomvi yao.
Hali ikazidi kuwa mbaya,vikao vya familia haviishi. Jamaa akahama chumba akahamia ghrofani..Hadi hapa umepata picha kwa nini kumetoea kifo cha aina hii.
Pale mnapojipata kimaisha mkafikia hatua ikawa ngumu kuachana kwa sababu ya kuogopa kugawana Mali. Mwanaume hatua hii anakuwa na stress za kiwango cha SGR.
Jamaa alipoenda kureport kwa wazazi wa Binti mtoto wao haonekani wazazi walie da chang'ombe kureport na jamaa alifungua jarada kigamboni.
Chang'ombe na kigamboni wakawa wanafatilia inshu Moja bila kujuana.
OKW BOBAN SUNZU
Umalize mipaja yote; umalize mzigo wa makalio kukifikia kipochi manyoya ni shughuli. Jamaa aliingia hasara ya mkaa sio mchezo. Ila na chenyewe sijui kwanini kilifichwa hivyo!Kaaziii kweli kweli....
So kumbe nyonyo haziungui kwa urahisi...
Na kipochi manyoya why hakijaungua mapema....
Mwandishi mwenyewe alipenyezewa za ndani kabisaWala halikuwa jeshi lililosanukia mchongo. Ni mwandishi wa habari za kiuchunguzi kutoka gazeti Fulani.
Mwamba alidig deep hadi mchongo ukasanuka.
Yeah,mkuu.Mwandishi mwenyewe alipenyezewa za ndani kabisa
Ni issue. Kumbuka jamaa alishaenda kuripoti polisi kupotea kwa mkewe just few days baada ya "kutoweka" kwake.Kama walikuwa wanaishi pamoja bila maelewano huku wakigawana vyumba, kwa nini kuonekana simu ya mke kutumia mtandao mmoja iwe issue? Maana angeweza kutuma tu hata akiwa chumbani kwake
Lkn njagu walikuwa na mkono wao pia, maana mwandishi pekee asingeweza kufanya mtuhumiwa akutwe na hatia katika namna ilivyofikiwa. Kuna pahala njagu wali dig deep.Wala halikuwa jeshi lililosanukia mchongo. Ni mwandishi wa habari za kiuchunguzi kutoka gazeti Fulani.
Mwamba alidig deep hadi mchongo ukasanuka.