Aliyehukumiwa kwenda jela miaka 2 kwa kuchoma picha ya Rais amechukuliwa na watu wasiyojulika, mpaka sasa hajulikani alipo

Lakini si alihukumiwa hukumu halisi kwa hilo kosa na kulipa faini? Ni kosa gani tena lilipelekea waje kumchukua na kumuua na kwa kutumia kifungu kipi cha sheria?
 
Lakini si alihukumiwa hukumu halisi kwa hilo kosa na kulipa faini? Ni kosa gani tena lilipelekea waje kumchukua na kumuua na kwa kutumia kifungu kipi cha sheria?
Wameamua kumkomoa...alipotoka baada ya kulipiwa fine, wanaharakati waliyomsaidia walikuwa wanavimba sana mbele ya makamera hadi kupiga selfie naye..naona imewaaudhi watu fulani,wakaona Acha wamfanyie umafia!

Ova
 
Wameamua kumkomoa...alipotoka baada ya kulipiwa fine, wanaharakati waliyomsaidia walikuwa wanavimba sana mbele ya makamera hadi kupiga selfie naye..naona imewaaudhi watu fulani,wakaona Acha wamfanyie umafia!

Ova
Malupo ni hapa hapa duniani. Hata waliotaka kumuua Tundu Lissu walikufa wao lakini Tundu anaishi hadi leo.
 
Kwanini uchome picha ya president in the first place.?
Your living in third world country alafu unachoma picha za viongozi huku unahitaji hao watu wakusaidie.
 
Nchi ya ovyo iko bussy na vitu vya ajabu sana .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…