tpaul
JF-Expert Member
- Feb 3, 2008
- 24,225
- 22,632
Lakini si alihukumiwa hukumu halisi kwa hilo kosa na kulipa faini? Ni kosa gani tena lilipelekea waje kumchukua na kumuua na kwa kutumia kifungu kipi cha sheria?Mkuu hakuna sehemu nimesema nasapoti mauaji ila vijana tujiepushe kuvamia pori la Simba.
Kulikuwa hakuna faida wala ulazima wa kuchoma picha ya kiongozi.
Tujiepushe na vitu vya kujazana upepo humu mitandaoni/vijiweni tukumbuke tuna familia nyumbani zinatuhitaji.