Aliyeidanganya EFF ya Afrika ya Kusini ndiye anayeidanganya ACT Wazalendo ya Tanzania?

Lengo na madhumuni ya ACT wazalendo ni kuhakikisha inaififisha CDM na huo mchongo unatoka serikalini, na ndio maana utaona wanauma na kupuliza, ila nayo ACT itakufa tu kama CUF
vyama dhaifu visivyo na malengo huwa vinavisingizio duni sana vya kukata tamaa kama hivi,dah🐒
 
Hapa Tanzania ACT wako bize kupambana na CHADEMA badala ya kujijenga yenyewe. Mwisho wa siku CHADEMA ama itaongoza nchi au itakuwa chama kikuu Cha upinzani wakati huo ACT itakuwa haina nguvu za kisiasa Zanzibar.
Vinakuaga vi chama vya kimkakati
 
Kumbe nimesoma upuuzi, najilaumu
 
N
Zitto ni mmojawapo wa wanasiasa niliokuwa nawaona wako makini sana nchi hii, sijui nani alimdanganya kujianzishia hicho kijiwe cha ACT, chama kipo Zanzibar tu halafu mafaniko makubwa wanayojisifia nayo ni kumiliki ofisi na kuchambua sera!
Ndiyo maana tunakiita CCM B kutokana na miendeno yake. Yaani kama Zito mjanja mjanja mpaka kapoteza umaarufu Kwa ajili ya kutumika.
 
Hatukuona vyama vingine vikiandamana kwenda ubalozi wa Uganda kuterea ushoga isipokuwa EFF
Kama una taarifa viliandamana tufahamishe.
 
Kuongea tu bila maneno machafu hamuwezi,
Tukiwapa nchi si mtawafundisha matusi watoto zetu..??
Watoto wenu wanatoka majumbani mwenu tayari wanayajua.Angalia wakipewa mitihani wanaandika nini na kurudi majumbani mwenu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…