Serikali inapopiga marufuku vileo kadhaa, ni kwa maslahi ya watu wake.
Huwa nasikitika ninapowaona au kuwasikia watu wakituhumu viongozi wanaopigana vita dhidi ya madawa ya kulevya na kuwaita majina yasofaa.
Hebu angalieni mathila yanayompata huyu mama na mtoto wake!
Jitafakarini!