Aliyeimba nitarejea na Diamond sasa amekuwa teja wa gongo

Aliyeimba nitarejea na Diamond sasa amekuwa teja wa gongo

Daah sasa huyu analewa mwenyewe pombe na anaomba asaidiwe.Si atalewa pombe na msaada atakaopewa.KWA KIFUPI AACHE KWANZA ULEVI

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Alikuwaga demu wa domo huyu wakati wanaimba ule wimbo...sasa jamaa hajarejea unategemea nini?
 
Usumbufu huu Kwa wazazi
.

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Inasikitisha mwisho wa vijana wa muziki. Hivi huwa ni stress au kushawishiwa? Dahh wenye akili huko kwenye hyo industry ni wachache sana.
 
Dimond kama kawaida yake kaiba nyota ya mwenzie
 
Pole sana,Dada kwenye ile video anaonekana mzuri inakuwaje ameingia kwenye hayo madudu? Si nilisikia ana undugu na kina banana huyu?

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Umsumbue Mama kulea mimba yako,umsumbue kwa kukulea hadi ukue,na umekua bado unamsumbua wewe na mwanao (mjukuu wake)Vijana wenzangu tuwe na huruma na wazaz wetu wasijute kutuzaa

May Allah bless Me and You
 
Umsumbue Mama kulea mimba yako,umsumbue kwa kukulea hadi ukue,na umekua bado unamsumbua wewe na mwanao (mjukuu wake)Vijana wenzangu tuwe na huruma na wazaz wetu wasijute kutuzaa

May Allah bless Me and You
Maneno ya busara sana Haya kaka, in sha Allah,
Allah atufanyie wepesi

spend less, save more
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kwenye kile kideo alikuwa na manywele yale ya kuonyesha mmmmh
 
Maneno ya busara sana Haya kaka, in sha Allah,
Allah atufanyie wepesi

spend less, save more
Asante ndugu,wazaz hatupasw kuwakwaza,Mungu amekemea sana kuwakwaza wazaz,hakuna mzaz anayezaa mwanae aje kuwa na mambo ya kipuuzi,mema tukiyafanya nao wanapata thawabu,maovu tukiyafanya kama hawaridhii hawapat dhambi.Dada amekua kero kwa mama kwa sasa,inaumiza na hapo anayeumia ni mama anasononeka sasa hiyo inaleta picha mbaya sana

May Allah bless Me and You
 
Asante ndugu,wazaz hatupasw kuwakwaza,Mungu amekemea aana kuwakwaza wazaz,hakuna mzaz anayezaa mwanae aje kuwa na mambo ya kipuuzi,mema tukiyafanya nao wanapata thawabj,maovu tukiyafanya kama hawaridhii hawapat dhambi.Dada amekua kero kwa mama kwa sasa,inaumiza na hapo anayeumia ni mama anasononeka sasa hiyo inaleta picha mbaya sana

May Allah bless Me and You
Kuwakwaza wazazi inatokea, ila kuna umri wa kuwakwaza ( kile kipindi cha balehe nk) lakini 27yrs bado inakuwa kero kwa mzazi? Dah mungu aninusuru kwakweli

spend less, save more
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kuwakwaza wazazi inatokea, ila kuna umri wa kuwakwaza ( kile kipindi cha balehe nk) lakini 27yrs bado inakuwa kero kwa mzazi? Dah mungu aninusuru kwakweli

spend less, save more
Na hapo ndo tunapokosea,umri huo ni wa mzaz kufurahia kuwa amezaa sio kukereka.
Dada anahitaj kusaidiwa je nani wa kumsaidia?

May Allah bless Me and You
 
Diamond kashindwa kumsaidia mwenzake kweli

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Na hapo ndo tunapokosea,umri huo ni wa mzaz kufurahia kuwa amezaa sio kukereka.
Dada anahitaj kusaidiwa je nani wa kumsaidia?

May Allah bless Me and You
Kabla hajasaidiwa inahitajika utayar wake wakusaidiwa
Je, yupo tayari kusaidiwa?

spend less, save more
 
gongo haijawai muacha mtumiaji salama

Post sent using JamiiForums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom