Aliyeimba "wanaume tumeumbwa maaatesooo" aliwaza sana

Aliyeimba "wanaume tumeumbwa maaatesooo" aliwaza sana

lamekiAgustino

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2024
Posts
481
Reaction score
1,318
Mwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya.

Mchumba wangu joannah nikuoe Sasa au unasemaje😉😉😉😉😉😉😉😉
 
Nakula hii kitu hapa
JamiiForums1312488695.jpg


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya.

Mchumba wangu joannah nikuoe Sasa au unasemaje😉😉😉😉😉😉😉😉
Aaaah aaaah🤣🤣🤣🤣🤣Jamani,hii ndoa itakuwa ya uji ramadhani ikiisha talaka....maana kivuruge mmmh
 
Hauna maid? Wote humu tuna special chefs umevamia jf nn? Hamia fb
🤣🤣🤣 kweli aisee! Wanaume wa humu ambao hamjaoa mnakula bata sana, hakuna mateso, wote mna mandinga mkali, mnaishi kwenye apartment masaki, dada wa kazi anakuja mara moja kwa wiki kufanya kazi, mambo ni supa.

Ila waliooa wana stress, wanateseka, kutwa kulia lia 😂
 
Back
Top Bottom