lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,318
Hii picha ishachacha acha kutufanya hivyo ya toka juzi hii huu Msosi hauwezi kua hivi hivi
Aaaah aaaah🤣🤣🤣🤣🤣Jamani,hii ndoa itakuwa ya uji ramadhani ikiisha talaka....maana kivuruge mmmhMwamba apewe maua yake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nahangaika kupika hapa siopoa wakuu na ukizingatia siwezi kula daku kwa mama ntilie na nimeçhoka nakazi ile mbaya.
Mchumba wangu joannah nikuoe Sasa au unasemaje😉😉😉😉😉😉😉😉
SawaHii picha ishachacha acha kutufanya hivyo ya toka juzi hii huu Msosi hauwezi kua hivi hivi
dah hapandio nimemaliza kupika nimechoka balaa usiku mwema my😘😘😘Aaaah aaaah🤣🤣🤣🤣🤣Jamani,hii ndoa itakuwa ya uji ramadhani ikiisha talaka....maana kivuruge mmmh
wee mjinga kweli mkuu.yani nilikua nahangaika kupika ugali wewe unasema nichai☹️☹️ningekupa tusi zito sema huu nimwezi mtukufuView attachment 2946267 Embu tuoneshe picha unachopika kama hakuna hii ni chai
nimemaliza kwambinde sana🤣🤣🤣Unapika huku unachart, kwanini usihangaike.
🤣🤣🤣 kweli aisee! Wanaume wa humu ambao hamjaoa mnakula bata sana, hakuna mateso, wote mna mandinga mkali, mnaishi kwenye apartment masaki, dada wa kazi anakuja mara moja kwa wiki kufanya kazi, mambo ni supa.Hauna maid? Wote humu tuna special chefs umevamia jf nn? Hamia fb
shemeji mambo😕😕🤣🤣🤣 kweli aisee! Wanaume wa humu ambao hamjaoa mnakula bata sana, hakuna mateso, wote mna mandinga mkali, mnaishi kwenye apartment masaki, dada wa kazi anakuja mara moja kwa wiki kufanya kazi, mambo ni supa.
Ila waliooa wana stress, wanateseka, kutwa kulia lia 😂
Kula daku kabisa mywangu ukilala umelala usisumbuke baadae😁dah hapandio nimemaliza kupika nimechoka balaa usiku mwema my😘😘😘