lamekiAgustino
JF-Expert Member
- Feb 4, 2024
- 481
- 1,318
- Thread starter
-
- #41
basi jiandae kupika mpenzi sawa laaziz?Hapana kabisa, sipendi kabisa ugali Mimi ndani kuwe na mchele wa kutosha Mimi ni kama mpogolo....wali kama dozi
Ugali....sijui mboga Gani kapikaππ€£π€£π€£π€£
Bwana harusi unakula daku gani?
Kaka mdogo nipo mbona sijaona mahari?basi jiandae kupika mpenzi sawa laaziz?
π€£Dah,,pambana tule mshiko huoNimemwambia Kaka mdogo napokea mahari hata kwa M-PESA tu maana hii ndoa ni ya mwezi mmoja na imebakiza siku 13 tu kufa πππ
Looh πUgali....sijui mboga Gani kapikaπ
kwenye kuzalishΓ niko vizurisana mkuusasa wewe,
kaugali tu kanakushinda kupika, kanakutoa jasho, shughuli za uzalishaji utaweza kweli π
Mwambie kaka mdogo anataka mahari hata kwa simu mtumie ili atoe baraka zote ππ€£Dah,,pambana tule mshiko huo
Ninulie rice cooker tu mambo yatakuwa shwari...basi jiandae kupika mpenzi sawa laaziz?
apo sawa nakubali,kwenye kuzalishΓ niko vizurisana mkuu
Anakusoma hapa,we Kaa mkao wa kula muda wowote pokea mzigoMwambie kaka mdogo anataka mahari hata kwa simu mtumie ili atoe baraka zote π
tulia dogo nimsitiri dadako kwanzaKaka mdogo nipo mbona sijaona mahari?
Unapenda vinonoππLooh π
Nikadhani ni Wali, njegere na nyama ya kusaga πππ
Mquote na unitag aiseeeAnakusoma hapa,we Kaa mkao wa kula muda wowote pokea mzigo
Tumbo Dada tumbooo πππUnapenda vinonoππ
lalamkuu kesho nayo siku akili Yako ijichaji kwanzaapo sawa nakubali,
maana yake ata kula ugali mbichi unaweza π
Mahari hujatoka aiseee ukimdanganya Dada yangu nitakukatakata na mapanga πππtulia dogo nimsitiri dadako kwanza
ok usijali ukija nitakupa kiasi ukanunue kila kitu chajikoni unachotaka my loveNinulie rice cooker tu mambo yatakuwa shwari...
usiwe naharaka bwashemeji ngoja nimsitiri dadako kwanzaMahari hujatoka aiseee ukimdanganya Dada yangu nitakukatakata na mapanga πππ
Bila mahari hiyo ndoa hapo na nitamuonya Dada akufungie vioo kabisaaausiwe naharaka bwashemeji ngoja nimsitiri dadako kwanza
AI FOTO