π€£π€£π€£ kweli aisee! Wanaume wa humu ambao hamjaoa mnakula bata sana, hakuna mateso, wote mna mandinga mkali, mnaishi kwenye apartment masaki, dada wa kazi anakuja mara moja kwa wiki kufanya kazi, mambo ni supa.
Ila waliooa wana stress, wanateseka, kutwa kulia lia π