Dreamliner787
JF-Expert Member
- Mar 24, 2017
- 562
- 362
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Dah nimecheka sana,ila hongera zake sana Mwamba kwa kuwapiga hela mazuzu. Nahisi angekuja Tanzania angealikwa Ikulu
Waislamu hawana mambo kama hayo.Utasikia wazee wakuiga nao wanamleta mudy next week
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah nimecheka sana,ila hongera zake sana Mwamba kwa kuwapiga hela mazuzu. Nahisi angekuja Tanzania angealikwa Ikulu
Yupi? Mimi sina dini maana dini ni ugonjwa mbaya sana kuliko ugonjwa wowote ule duniani. Ndiyo maana walioleta walitufanya wutumwa. Cha kushangaza walioleta dini hawagombani kwasababu ya dini ila walioletewa sasa. Wamefanya dini kama imetoka kwa Mungu wakati ujinga mtupu.
Ukikataka kuwa mgonjwa wa akili wewe kuwa mfuasi wa dini fulani.
Kanuni gani ilosema kumquote mtu ni kujishtukia? 😀Sijajishutukia ila wewe ndiyo umejishitukia mpaka umeniquote. Kama haukujishutukia ungepita kimya kimya. Ungecomment bila kuniquote na ndiyo maana sijataja dini ya mtu. Boko haramu dini yao ni Budhaa. Sijui wasiwasi wako unatoka wapi.
Ni dini gani niliyoitaja? Sikutaja dini ya mtu lakini naona umejishitukia. Dini zililetwa na watu kwa nia njema ya kuhubiri neno la Mungu lakini watu wanatumia dini kuhalalisha maovu. Kwahiyo haimaniishi mtu wa dini fulani akitenda maovu ni wa dini hiyo. Mungu anahubiriwa kwa maneno, kauli na matendo mema. THINK BIGKanuni gani ilosema kumquote mtu ni kujishtukia? 😀
Nimekuquote kwa sababu umezungumzia dini ya wengine, sasa mimi nilichofanya ni kukufahamisha tu kama wao hawataki masikhara na pumbuvau, wanaoendekeza upumbavu ndio hao wenye mitume kila chochoro! Tatizo nini kwani? Au imekugusa?
Kwani babu zetu kabla ya ukoloni wa Wazungu na Warabu walikuwa dini gani? DINI NI UGOJWA MBAYA SANAKabla ya kuwa huna dini ulikuwa na dini gani ??
Anakusanya hela ili akawaandalie makazi mbinguni!! 😀 😀
Waislamu hawana mambo kama hayo.
Ni dini gani niliyoitaja? Sikutaja dini ya mtu lakini naona umejishitukia. Dini zililetwa na watu kwa nia njema ya kuhubiri neno la Mungu lakini watu wanatumia dini kuhalalisha maovu. Kwahiyo haimaniishi mtu wa dini fulani akitenda maovu ni wa dini hiyo. Mungu anahubiriwa kwa maneno, kauli na matendo mema. THINK BIG
DINI NI UGONJWA MBAYA SANA KATIKA DUNIA HII. HAO HAO WALIOLETA DINI NDIYO WALIUZA NDUGU ZAKO UTUMWANI.
Amehifadhi fegi zake humoDa yesu anatembea na kibegi kidogo dogo! Au ndicho alichowekea mikate ya kuwalisha wenye njaa
Duu .Hii ni hatare sana