Aliyejifanya YESU atimuliwa Kenya

Aliyejifanya YESU atimuliwa Kenya

Hahahaaaaaaa afadhali Serikali imefanya vizuri!! Hii dunia sijui inakoelekea !!! Watu kweli wanacheza na jina la Yesu hivi!!😭😭
Aah Inasikitisha sana kwakweli japo tunacheka
 
Na kama watu wametoa sadaka sijui ni vipi unaweza kumuhukumu kwamba siye beyond reasonable doubt..., Na huyo Hakimu kama ana roho nyepesi anaweza kudhani yeye ni Pilato incarnated....
😁😁😁😁
 
Huyo angejifanya ndiyo yule wanayemuabudu ule upande wa Boko Haram, Al-Qaeda na Al-Shabab. Huyo angekuwa maiti muda si mrefu maana kiongozi wao hutetewa na wanadamu.

Huyo unamtetea wewe??
 
Wenzetu kenya wanajielewa sio sisi nabii tito tu anaachwa apotoshe Jamii nawandsh wa habar wanamchelea nakuandka habar zake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
lingekuwa limeandika gazeti la musiba ingekuwa shoga aliyejifanya yesu afukuzwa kazi Kenya.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] na angefanya photoshop ya kiwili-wili cha mtu aliyevaa bikini
 
Wakenya bana..sometimes mnatia aibu. Si bora mngechukua mmasai kuliko huyo mzungu fake
 
Back
Top Bottom