Aliyejifanya YESU atimuliwa Kenya

Aliyejifanya YESU atimuliwa Kenya

Wakenya hao wajanja wanatafuta viza ya kutimkia Siberia kupitia huyo yesu fake.Wazungu wengi wamehamia Siberia kupitia yeye
 
kila siku wanatutukana watz sasa mnaona wasivyo na kitu kichwani,angekuja kwetu huyu tungemkamata ,tungempiga na tungemsindikiza airport akapande ndege(in jaguar voice)
 
Huyo angejifanya ndiyo yule wanayemuabudu ule upande wa Boko Haram, Al-Qaeda na Al-Shabab. Huyo angekuwa maiti muda si mrefu maana kiongozi wao hutetewa na wanadamu.
Kwa kuendekeza ujinga wenu, mnaendelea kuonekana wajinga na kutapeliwa makanisani, huyo jamaa amewaona kuwa wajinga ndio maana akawafanyia ujinga. Ule upande wa Boko haram, hautaki masihara na imposters!
 
Kwa kuendekeza ujinga wenu, mnaendelea kuonekana wajinga na kutapeliwa makanisani, huyo jamaa amewaona kuwa wajinga ndio maana akawafanyia ujinga. Ule upande wa Boko haram, hautaki masihara na imposters!
Sijataja dini ya mtu ila nashangaa wewe umetaja. Kama unafikiri Boko Haram au Alshabab ni ya dini yako. Hongera kwa hilo. Basi endeleeni kujilipua
 
Sijataja dini ya mtu ila nashangaa wewe umetaja. Kama unafikiri Boko Haram au Alshabab ni ya dini yako. Hongera kwa hilo. Basi endeleeni kujilipua
Mbona unajishtukia? mie nimekwambia kama hao ni wa dini yangu? 😀 Itakuwa unahusika apo
 
Kenyan government deports "Jesus" and arrests pastors who invited him

The Kenyan government have deported a Caucasian man being paraded in the country as Jesus Christ and they have arrested the pastors who invited him and convinced their followers he's the real son of God.

Two church pastors invited the Caucasian man to their country then managed to convince their followers that he's Jesus Christ of Nazareth and he has finally come back as promised. The Caucasian went around taking money from Kenyans to perform miracles and secure seats for them in heaven and this went viral.

Daily Africa reports that Kenya’s Government has now deported the fake Jesus and they have arrested the dubious pastors who invited him.View attachment 1169232
Hahahaaaaaaa afadhali Serikali imefanya vizuri!! Hii dunia sijui inakoelekea !!! Watu kweli wanacheza na jina la Yesu hivi!!😭😭
 
Hapo kosa litakuwa ni ulaghai na kuchukua pesa za watu..., maybe na kuingia nchini bila utaratibu wa kumruhusu kufanya kazi husika...

Hivi katika jambo la imani.., mtu akijiita au akijifanya yeye ni mtu ambaye tunaamini kuwa kuna siku atarudi (hata kama sio kweli) unaweza legally ukambishia kwamba sio yeye ? Hapa keyword ni legally sio spiritually.....
 
Hapo kosa litakuwa ni ulaghai na kuchukua pesa za watu..., maybe na kuingia nchini bila utaratibu wa kumruhusu kufanya kazi husika...

Hivi katika jambo la imani.., mtu akijiita au akijifanya yeye ni mtu ambaye tunaamini kuwa kuna siku atarudi (hata kama sio kweli) unaweza legally ukambishia kwamba sio yeye ? Hapa keyword ni legally sio spiritually.....
Utapeli wa kutumia akili😁😁😁
 
Back
Top Bottom