mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,253
- 22,843
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanaangamia kwa ebola na ngoma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watu wanaangamia kwa ebola na ngoma
😁😁😁😁😁😁😁😁kama yeye yesu kweli na aende Israel.
Unaambiwa yesu alisharudi kwa mara ya pili duniani ila kwa style ya kulipa kisasi View attachment 1169251
Kwa kuendekeza ujinga wenu, mnaendelea kuonekana wajinga na kutapeliwa makanisani, huyo jamaa amewaona kuwa wajinga ndio maana akawafanyia ujinga. Ule upande wa Boko haram, hautaki masihara na imposters!Huyo angejifanya ndiyo yule wanayemuabudu ule upande wa Boko Haram, Al-Qaeda na Al-Shabab. Huyo angekuwa maiti muda si mrefu maana kiongozi wao hutetewa na wanadamu.
Sijataja dini ya mtu ila nashangaa wewe umetaja. Kama unafikiri Boko Haram au Alshabab ni ya dini yako. Hongera kwa hilo. Basi endeleeni kujilipuaKwa kuendekeza ujinga wenu, mnaendelea kuonekana wajinga na kutapeliwa makanisani, huyo jamaa amewaona kuwa wajinga ndio maana akawafanyia ujinga. Ule upande wa Boko haram, hautaki masihara na imposters!
Mbona unajishtukia? mie nimekwambia kama hao ni wa dini yangu? 😀 Itakuwa unahusika apoSijataja dini ya mtu ila nashangaa wewe umetaja. Kama unafikiri Boko Haram au Alshabab ni ya dini yako. Hongera kwa hilo. Basi endeleeni kujilipua
Amepanda ndege.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] halipoelekea ndo sijui.Sasa sijui amepaa tena
Dhihaka kaifanya huyo aliyejidai yesu huko kenya kwa kudhihaka ukristoacha dhihaka.
Hahahaaaaaaa afadhali Serikali imefanya vizuri!! Hii dunia sijui inakoelekea !!! Watu kweli wanacheza na jina la Yesu hivi!!😭😭Kenyan government deports "Jesus" and arrests pastors who invited him
The Kenyan government have deported a Caucasian man being paraded in the country as Jesus Christ and they have arrested the pastors who invited him and convinced their followers he's the real son of God.
Two church pastors invited the Caucasian man to their country then managed to convince their followers that he's Jesus Christ of Nazareth and he has finally come back as promised. The Caucasian went around taking money from Kenyans to perform miracles and secure seats for them in heaven and this went viral.
Daily Africa reports that Kenya’s Government has now deported the fake Jesus and they have arrested the dubious pastors who invited him.View attachment 1169232
😁😁😁😁Amepanda ndege.. [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] halipoelekea ndo sijui.
Utapeli wa kutumia akili😁😁😁Hapo kosa litakuwa ni ulaghai na kuchukua pesa za watu..., maybe na kuingia nchini bila utaratibu wa kumruhusu kufanya kazi husika...
Hivi katika jambo la imani.., mtu akijiita au akijifanya yeye ni mtu ambaye tunaamini kuwa kuna siku atarudi (hata kama sio kweli) unaweza legally ukambishia kwamba sio yeye ? Hapa keyword ni legally sio spiritually.....
Kila Siku tutaona na kusikia mengiManabii wa uwongo wameisha anza kuja duniani. Na huu ndio mwisho wa dunia.
Sawaakifika mbinguni nistue