Nakumbuka enzi hizo nilikuwa na mchepuko unafanya kazi Arusha. Nilimtembelea, wakati nikiongea na mdogo wake, akawa ananisangaa na si kushangaa kuwa inakuwaje natoka Dar hadi Arusha kufuata K! Nikamsubiria, alipoyaanza nilimchan alipotoka (mtoto wa kike) Dar kwenda Songea kufuata Dushe. Nilipomkumbusha alisema ulikuwa ni utoto. Ndugu yangu unachouliza subiria unaweza kufuata kikojoleo Ukraine wakati kuna mrusi anafyeka watu kama hana akili nzuri. Muulize
figo76 alivyoifuta kikojoleo huko mwanza na kikamkimbia mtoto wa kike.