Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 29,909
- 32,414
Ndio wangemaliza upelelezi mapema ili ahukumiwe, kulikuwa na haja gani yakumuweka miaka 7 mahabusu?!!. Ndio maana jamaa hapo juu kalalamikia mfumo wetu wa upelelezi ni hovyo.
Wapi umesoma kuwa alikaa miaka 7 kwa kuwa "upelelezi haujakamilika"?
Nilichoona mimi alikuwa na kosa la "utakatishaji fedha" ambalo, nijuavyo, halina dhamana