Rugaiyulula
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,524
- 1,705
Umeeleweka hivyo hivyoKwani nimeandika mimi hizi habari?
Kasome post namba moja imeandikwa vipi halafu muhoji aliyeleta hiyo habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeeleweka hivyo hivyoKwani nimeandika mimi hizi habari?
Kasome post namba moja imeandikwa vipi halafu muhoji aliyeleta hiyo habari.
Una ujuaji wa kijinga sana, ko kosa kukosa dhamana ndo ukae miaka 7. bila kesi yako kusomwa.Wapi umesoma kuwa alikaa miaka 7 kwa kuwa "upelelezi haujakamilika"?
Nilichoona mimi alikuwa na kosa la "utakatishaji fedha" ambalo, nijuavyo, halina dhamana
Sasa kama upelelezi ulikamilika ni nini kilichofanya akae ndani miaka yote hiyo?Wapi umesoma kuwa alikaa miaka 7 kwa kuwa "upelelezi haujakamilika"?
Nilichoona mimi alikuwa na kosa la "utakatishaji fedha" ambalo, nijuavyo, halina dhamana
Kumbe kesi ikishaanza hakuna kusamehewa na DPP?Aliyekaa miaka 7 mahabusu kwa kukisababishia chuo hasara ahukumiwa. Kesi ilikuwa haijaanza vinginevyo isingekwenda kwa DPP.
Hicho ndicho kichwa cha habari.
Kumbuka hakuwa mwenyewe na hawakuzichukua kwa mkupuo mmoja.Sio kitu pesa ipo ..hajatupa mda ..ametoka na ataitumia vizuri tu.
hiyo miaka saba angezipata hizo m400?