Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Soon watamteka au kumuua, CCM ni mashetani kabisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huwa wanajifanya kwamba Mungu ndo kila kitu. Aache kulialia
Hahaha,Tlaatlaah ndio wamekupa kazi umuuwe mzee wetu ?
Unaweza kutoa mahari ya ng"ombe 100 we bahili?😀Nimekusikia Dada Demi, nataka nibadili jina Kuwa Aziz K kwa ajili ya Kuwa na wewe
Correct, maadamu anaamini kasimamia ukweli na Mungu anayemuabudu yupo.Hatakiwi kuogopa. Hana imani huyo
Huyo wenge ndio litamuua na sio kingine. Yaani CCM itishwe na mtu ndogo kama huyo? Ujinga kabisa!Siku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Kivip wakati hata wewe ulietapeliwa na hao viongozi pia unateseka kwa ugumu wa maisha na kuumwa na hatimae kufa?Uzuri watakao kuua na kukutishia wanajitengenezea laana .Ona sasa watoto wa viongozi walivyo kaputi .Viongozi wanaumwa magonjwa ya kutatanisha nk .Na wao hawaishi milele watakufa tu hata uwe raisi au papa.
Wanaomtishia watashindwa kwa jina la Mungu iwapo alichokisema kina ukweli ndani yakeAidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Unaweza kutoa mahari ya ng"ombe 100 we bahili?😀
Umenena vyema mkuu,Ajabu ya wanadamu......
MTU unaipigania dunia mpaka uko tayari kuwaangamiza wanadamu wenzako kana kwamba utaishi milele.....
Unapata ujasiri wa kuwaangamiza, kuwadhuru, kuwaringia na hata kujikweza kwenye huu ulimwengu hali ya kuwa siku moja utakufa na mwili wako utahifadhiwa kwenye kipande kidogo cha ardhi......
Hizo fedha, mali na madaraka vinavyokuvua utu kwa wanadamu wenzako vyote utaviacha na hata ukifukiwa navyo havitakuwa na manufaa yoyote kwako.....
Mwanadamu wewe ambaye maiti yako hata wale wapendwa wako watakuwa wanaiogopa unajivuna nini wewe kwenye mgongo wa ardhi....
Ndugu zangu.... maisha ya mwanadamu hapa duniani ni mfano wa msafiri aliyejificha kivulini........
Vyeo, madaraka na mali visitutie upofu na ujivuni mbele ya binadamu wenzako.......
Siku moja utakufa au kupata mtihani na utaiona dunia chungu.....
TUISHI KWA WEMA.....
Basi jina la aziz k halikufai kabisaKama kuna thaman unayo mamsap, mi Nalipa ! Ila Kama watoto wa wetu wana Baba tofauti, inabidi tupunguze mpaka 2
Kwani Mungu ndio anayetaka kumuua?Mchungaji gani huyu hana ulinzi wa Mungu
Huyu wanae Tu LAZIMA watamla kichwaSiku chache baada ya kufutwa uanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kutokana sababu ya kupinga uteuzi wa Rais Samia Suluhu Hassan kuwa mgombea pekee wa CCM, Mchungaji Dkt.Godfrey Malisa amedai kuanza kuingiwa na wasiwasi kuhusu maisha yake na kuwa yupo katika hatari baada ya kusema ukweli.
Akizungumza na Jambo Tv kuhusu kinachoendelea, Malisa amesema “na niwaambie watanzania wajue tu kwamba nipo kwenye wakati mgumu sana kwa sababu tu nimesimama kusema kweli, tumefika mahali hata watu wanatoa ushauri kwamba afadhali uondoke hata nchini”
Soma pia: Aliyepinga Rais Samia kupitishwa Mgombea pekee wa Urais kupitia CCM afukuzwa uanachama
Aidha Dkt. Malisa ameongeza kuwa ameshangazwa sana na hali hiyo ya kufikia kutishiwa hali ya kuwa tu ni kasema ukweli “Tunafika mahali tunasema hivi nchi yetu tupo hapo mahali pa kutishiwa kwa sababu tu unasema kweli. Nakumbuka mwanzoni kuna watu walikuja wakaniambia bana jihadhari” amesema Dkt. Malisa
Aidha amewaomba watanzania kumuombea kwa Mungu kwani anaamini ulinzi wa Mungu utamuwezesha kuivuka hali anayopitia
View attachment 3240687
Mungu anaweza akamlinda asiuwaweKwani Mungu ndio anayetaka kumuua?