ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Miss you too hb wa watu[emoji3] [emoji3]
Zari alimuacha Ivan na kumfuata Diamond kisa hela?!!!!!
Hivi unamjua Ivan wewe???!!! Huyo Diamond anaweza kuwa Bodyguard wake ... Mwaka Jana Diamond Aliwekewa Mezani Dolla 500,000 akafanye show kwenye sherehe ya mtoto wa Ivan ambae yupo uingereza kwenye shule ya soka ya Manchester utd. .. Mtanzania mwenzetu aligoma akasingizia ana show marekani, kama unakumbuka vizuri...
Uliza watanzania wanaoishi South Africa ndio watakwambia Huyo MTU Ivan ni nani ....
Kuna aina mbili za 'silent killer'(blood pressure)Hiki chanzo nacho balaa. Eti hypotension ni high blood pressure.????!!!! Hypertension ndo high blood pressure
wadada wazuri nipasua kichwa sana 🙁Wivu. Nani alimtuma kuacha mwanamke mzuri kama Zari?
Tatizo ni lifestyles zetu... Mtu anabugia lichupa lizima la jacky daniels (wakati inafaa umeze tort kadhaa)Heart attack mbona siku hizi kama inapata watu sana duuh! Mungu amponye
If she is not after money she is after famousnessZari alimuacha Ivan na kumfuata Diamond kisa hela?!!!!!
Hivi unamjua Ivan wewe???!!! Huyo Diamond anaweza kuwa Bodyguard wake ... Mwaka Jana Diamond Aliwekewa Mezani Dolla 500,000 akafanye show kwenye sherehe ya mtoto wa Ivan ambae yupo uingereza kwenye shule ya soka ya Manchester utd. .. Mtanzania mwenzetu aligoma akasingizia ana show marekani, kama unakumbuka vizuri...
Uliza watanzania wanaoishi South Africa ndio watakwambia Huyo MTU Ivan ni nani ....
Ila ni inaruhisiwa kuoa mwanamke ambaye aliashatoa mimba nyingi na hujui ma-ex wake na akitaka kulambwa nao analambwa sindio...?Hakika hairuhusiwi kuoa mwanamke aliyeachana na mme wake tena wakiwa wamezaa mtoto au watoto
Cha kitandani hakinishindi, kila cha oooooh baby yeeess! your so sweeeet com'oon, e.t.cSamahani hata akikupenda Kingereza unakijua [emoji3]
Hivi wewe kichaa unaelewa nilichoandika , wapi nimemtaja mtoto wa zari yupo chuo cha Manchester utd...Acha uongo mzee, hakuna mtoto wa zari anaesoma manchester united academy.
Hujui utamu wa Zari bora ukae kimya, aliyemwacha kapata pressure yuko hoi (Mungu amponye) afu unataka na Diamond wetu amuache aanze kupata pressure.Ila domo some tym ni ****** huwezi kung'ang'ana na lidemu lina watoto w3 afu tena limekuzidi miaka kibao yaani huwo ni ujinga wa kiwango cha reli
Kwa upande wangu girlfriend/mke akinisaliti huwa siumii kwa yeye kunisaliti, kinachoniuma ni ule uzembe wake wakufanya nijue ananisaliti na nitamchukia kwa hilo la kufanya nijue kuliko hata alivyonisaliti. Huwa naamini kila mtu anacheat ila haitakiwi mwenza wako ajue, hiyo ndio heshima.Ila ni inaruhisiwa kuoa mwanamke ambaye aliashatoa mimba nyingi na hujui ma-ex wake na akitaka kulambwa nao analambwa sindio...?
Heart Attack ni spirit,kama si maombi aisee hii kitu ilikuwa inataka kuninyemelea, namshukuru Mungu niko Gado.Heart attack mbona siku hizi kama inapata watu sana duuh! Mungu amponye
Hapa ndo alifanya technical error kuoa mke mwenye watoto kibao na mwanaume mwingine! Atakuwa anaifeel tu kwa vyovyoteishu ni kuwa jamaa ana umwa na ni mzaz mwenzie inabid akamcheki, huyo Ivan wale watoto wengine ndio anawatunza yeye, so lazima hata domo apige kimya kama yeye mjanja awatunze wote watano tuone
Kosa kubwa la kiufundi alifanyabora mtoto bro, watoto wa tatu!! man! diamond got some balls out there.
jamaa huwa namsifu