Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Aliyekubali Switch za bwawa la umeme la Rusumo Tanzania zikawekwe Rwanda ametumia akili zake ipasavyo?

Nimetoa maelezo mengi tuu.
Ndo maana nimekuuriza bwawa linatumia maji kutoka wapi??
Na mpaka wa tz na rwanda ni nini??
 
Mradi ni WA nchi 3 Tanzania , Rwanda na Burundi , power house IPO Tanzania , switch yard IPO Rwanda kweny mlima , alafu umeme ndo unagawanywa Hapo kwenda tz , Burundi na Rwanda , mradi wa nchi tatu haiwezekani Kila kitu kiwe kwako , tz akizima mitambo kweny power house hawez kuupata umeme Kwa sababu switch IPO Rwanda na pia Rwanda akigombana na tz hawez kuupata umeme maana unazalishiwa tz , Burundi ndo Hana chake Kwa sababu yupo mbali na mradi ulipojengwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Nimepata taarifa zisizo rasmi kwamba eti lile bwawa la umeme la Rusumo linalojengwa huko Ngara Tanzania, eti switch zake za kuwashia na kusambazi umeme zinafungwa Rwanda.

Maana yake ni kwamba Tanzania itakuwa ikizalisha umeme, halafu huo umeme utasafiri hadi Rwanda, halafu Rwanda ndio itakua inawasha hizo Switch ili kuruhusu umeme uje Tanzania.

Je, kuna mantiki yeyote juu ya maamuzi kama haya? , kwahiyo siku tukipandisha ushuru bandarini kwa mizigo inayoenda Rwanda na wao wanatuzimia switch za umeme hadi tushike adabu, na umeme tunauzalisha wenyewe? Sasa nashangaa, Tanzania tulikosa pesa ya kununulia switch hadi kwenda kuomba mchango wa Rwanda na tugawane nao umeme nusu kwa nusu eti?

Mi nadhani kuwe na haja ya kupimana magonjwa ya akili kabla ya kupeana hizi wizara nyeti hasa za Nishati na madini.., video ina maelezo ya ziada


Huo ni mredi wa nchi tatu Rwanda , Burundi na Tanzania maana uwez kuzalisha umeme nchi Moja wakati mto unamilikiwa na nchi tatu hvyo hayo ndo makubaliano na umeme hauna mahusiano yoyote na mambo ya bandari zenu ata mkipigana vita hakuna mweny uhalali wa kuzima huo umeme
 
Ngoja niwasaidie kidogo
Akagera_map.png

Mto huo hapo wa rangi ya blue
 
5-Figure4-1.png

Hio ramani ya Rwanda mto ni wa blue.
Hio rangi ya chungwa ni mpaka.
Ila kwa Tanzania and rwanda rangi ya chungwa aionekani coz sehemu kubwa coz imemezwa na mto.
Amabao ni mpaka.
 
provinces-of-rwanda-map.png

Hio nyingine imeonyesha mto tena kuna vipande kidogo vimeingia rwanda na baadhi tz, kutokana na baadhi ya vyanzo Vinatoka huku na kule rwanda.
 
For what I know, huo mradi sio wetu kwa 100% bali Mabeberu ndio wana-finance huo mradi kwa ajili ya Rwanda, Burundi na Tanzania!!

So, mwenye pesa zake ndo kaamua hivyo, HUTAKI, jenga mwenyewe kwa pesa zako... nyie si dona kantri bhana!!! Ukifanya hayo, ndo utaamua kuweka swichi popote pale hata kama kwenye ofisi za Lumumba!!

Maneno ku-mtu
 
Mradi ni WA nchi 3 Tanzania , Rwanda na Burundi , power house IPO Tanzania , switch yard IPO Rwanda kweny mlima , alafu umeme ndo unagawanywa Hapo kwenda tz , Burundi na Rwanda , mradi wa nchi tatu haiwezekani Kila kitu kiwe kwako , tz akizima mitambo kweny power house hawez kuupata umeme Kwa sababu switch IPO Rwanda na pia Rwanda akigombana na tz hawez kuupata umeme maana unazalishiwa tz , Burundi ndo Hana chake Kwa sababu yupo mbali na mradi ulipojengwa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ni kwanini Tz asingejenga mwenyewe hata kwa kukopa kisha akauza hizo megawatt 27 ili alipe mkopo? Kulikuwa na haja gani ya kuwapa umeme wetu bure?
 
Haha, sasa wewe kaza kichwa kwamba mto lilipojengwa bwawa upo mpakani, wakati ukweli upo wazi kwambo mto na hali kadhalika bwawa vipo Tz.
Huna hoja ,
Na ujaleta ushahindi kwamba mto upo tz na sio kwamba ndio unatenganisha nchi mbili.
Anngaria ngara ilipo afu angalia ngara na rwanda ni nini mpaka wake.
Huna hoja nimekuletea vielelezo Vingi tuu.
Ila umeshidwa kukanusha vote. Ushahidi vielelezo vyote.
 
Huo ni mredi wa nchi tatu Rwanda , Burundi na Tanzania maana uwez kuzalisha umeme nchi Moja wakati mto unamilikiwa na nchi tatu hvyo hayo ndo makubaliano na umeme hauna mahusiano yoyote na mambo ya bandari zenu ata mkipigana vita hakuna mweny uhalali wa kuzima huo umeme
Misri wanatupa megawatt ngapi za umeme sisi Afrika mashariki unaozalishwa Bwawa la Aswan?
 
Huna hoja ,
Na ujaleta ushahindi kwamba mto upo tz na sio kwamba ndio unatenganisha nchi mbili.
Anngaria ngara ilipo afu angalia ngara na rwanda ni nini mpaka wake.
Huna hoja nimekuletea vielelezo Vingi tuu.
Ila umeshidwa kukanusha vote. Ushahidi vielelezo vyote.
Kwenye ramani zako mwenyewe umesema kuna vipande vya mto vipo ndani ya Tz na vingine Rw, maana mto ni kama nyoka nyoka, sasa bwawa limejengwa kwenye kipande cha mto kilichopo Tz, kila mtu ajenge kwake sasa..😁
 
sahihi kabisa Rwanda wapo makini sio wazembe kama watanzania,awana hujuma na upigaji kama sisi watanzania.
huo ndio ukweli
 
Kwenye ramani zako mwenyewe umesema kuna vipande vya mto vipo ndani ya Tz na vingine Rw, maana mto ni kama nyoka nyoka, sasa bwawa limejengwa kwenye kipande cha mto kilichopo Tz, kila mtu ajenge kwake sasa..😁
Angaria ngara na rwanda kama kuna kipande kimeingia rwanda na tz .
Angaria kwenye ramani
Mkuu hivi sheria za kimataifa za mipakani na rasilimali unajua kweli???
Tanzania hapo.
Ndo maana ukiangali hapo bwawa na Burundi ni mbali ila Burundi wamo.
Kwanini?
Tuanzie hapo kwanza??
 
Angaria ngara na rwanda kama kuna kipande kimeingia rwanda na tz .
Angaria kwenye ramani
Mkuu hivi sheria za kimataifa za mipakani na rasilimali unajua kweli???
Tanzania hapo.
Ndo maana ukiangali hapo bwawa na Burundi ni mbali ila Burundi wamo.
Kwanini?
Tuanzie hapo kwanza??
Angalia mahojiano ya msimamizi wa mradi kwenye video niliyoweka, ameeleza bwawa limejengwa Tz.., sasa kabishane na msimamizi..
 
Back
Top Bottom