mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Nimekutana na hii habari. Mimi bado nina maswali mengi
=====
Kijana aliyefariki tangu mwaka 1994 amepatikana na kukukutana tena na familia yake
Mama yake amemtambua na kujiridhisha kuwa ni mwanaye baada ya kutambua baadhi ya maeneo ya mwili wake
Kijana huyo hana uwezo wa kuzungumza kwa sasa ingawa familia inaamini huenda akaweza kuzungumza tena
Imeelezwa kuwa kijana huyoalichukuliwa msukule na alikuwa akifanyishwa kazi tangu mwaka 1994
Wajuzi wa mambo mnasemaje?
=====
Kijana aliyefariki tangu mwaka 1994 amepatikana na kukukutana tena na familia yake
Mama yake amemtambua na kujiridhisha kuwa ni mwanaye baada ya kutambua baadhi ya maeneo ya mwili wake
Kijana huyo hana uwezo wa kuzungumza kwa sasa ingawa familia inaamini huenda akaweza kuzungumza tena
Imeelezwa kuwa kijana huyoalichukuliwa msukule na alikuwa akifanyishwa kazi tangu mwaka 1994
Wajuzi wa mambo mnasemaje?