Aliyekufa na kuzikwa zaidi ya miaka 20 iliyopita apatikana ila hawezi kuongea

Aliyekufa na kuzikwa zaidi ya miaka 20 iliyopita apatikana ila hawezi kuongea

mama D

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
19,981
Reaction score
35,581
Nimekutana na hii habari. Mimi bado nina maswali mengi

=====

Kijana aliyefariki tangu mwaka 1994 amepatikana na kukukutana tena na familia yake

Mama yake amemtambua na kujiridhisha kuwa ni mwanaye baada ya kutambua baadhi ya maeneo ya mwili wake

Kijana huyo hana uwezo wa kuzungumza kwa sasa ingawa familia inaamini huenda akaweza kuzungumza tena

Imeelezwa kuwa kijana huyoalichukuliwa msukule na alikuwa akifanyishwa kazi tangu mwaka 1994




Wajuzi wa mambo mnasemaje?
 
Wale wahenga wenzangu nani anamkumbuka pawa mabula? Nimekumbuka alivyokua anageuza makaratasi kuwa pesa
 
Tech ya Africa hiyo

Imeshafanya yake
 
Aliyekufa akazikwa amepstikana haongei

Kivuruge na wewe

Yaani amekufa akazikwa na amepatikana daah labda sijaelewa
 
Aliyekufa akazikwa amepstikana haongei

Kivuruge na wewe

Yaani amekufa akazikwa na amepatikana daah labda sijaelewa
🤣🤣@Me too hii habari yenyewe kivuruge
 
Back
Top Bottom