Aliyekutangulia Kakutangulia tu! Tulieni

Rabboni

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2015
Posts
1,096
Reaction score
1,588
Ha ha ha ha.
Ngoja niseme kitu hapa, nimepitia pitia hapa na nimegundua machache haswaa kuhusu sisi ma underground!
Nimeona hata tupige makelel kiasi gani hatuwezi kuwa maarufu kama walivyo wao.

Mkuu Bitoz na team yako, ujue kelele sana ni fujo.
haya mnatufanyia promotion sisi wageni lengo ni kutukuza tusidharauliwe! ni kwa nini nguvu itumike? hahahaha hawa wakongwe walitumia mbinu gani kwani?
Naona hapo kama vile mnajichosha tu!
tuendeleze makelele kama tunaweza kuwa maarufu kama kina Asprin, Arushaone, Nyani Ngabu, miss chagga na wengine maarufu.
 
Kuna heading moja inaitwa makapuku sijui nini nini....., nimekua nikiiona ikikua na kuchangiwa sana na hawa wageni wa ID hapa jf. Ebu ngoja leo nikitoka shambani nitaifungua nione kama inafanana na hoja ya mleta uzi.
hahaahaaaa.....[emoji13]
 
Kutangulia sio kufika
Kuwahi sio kuwa na akili
Ww sio kapukuz una multiple ID....hujawahi kuambiwa DUNDERHEAD
Sisi tunasonga mbele
Endeleeni na kelele za vyura
Km mambegele
tuendelee kulazimisha, mi ni new member na kiukweli sipendi kuitwa kapuku
 
Ha ha hivi Jf kuna watu maarufu ? Any way jitahidi usiwe bias.. Na kama una msimamo wako shikilia huo huo ... Don't attack people,attack hoja tu .. May be might help u ha ha ha ..
Ushaur huu mzuri sana kwa yeyote.. Miss chaga amegundua kuna tatizo humu ndani kuna watu hawana misimamo wapo kama wanaigiza maisha
Unaeza kutafsiriwa mtu leo kapost hivi kesho kapost lingine, bado ni mpenda sifa. Kuchangia kile unachoona ni sahihi na sio ku li modify jibu ili tu liwe upande fulan
Asante miss chagga
 
Karibu sana mkuu
 
Umaarufu upi?
 
Kutangulia sio kufika
Kuwahi sio kuwa na akili
Ww sio kapukuz una multiple ID....hujawahi kuambiwa DUNDERHEAD
Sisi tunasonga mbele
Endeleeni na kelele za vyura
Km mambegele
Melo wa makapuku[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
 
Mtoa uzi hoja zako hazina mashiko

Eti aliye kutangulia kakutangulia tuu acha mawazo mgando kama mafuta ya SAMONA
kwani Nokia ya tochi kipindi kile iliyokuwa inabamba kama ngoma za feruzi unaweza fananisha na Samsung galaxy note 4

Be like a man..TUNACHOKITAFUTA TUTAKIPATA ; TUNACHOKIKIMBIA KITATUKIMBIA

IMETOLEWA NA MKUU WA MAJESHI MAKAPUKU FORUM
ndg DEKITAMBI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…