Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Wajua Vijana wanashida esp ikiwa hutaki kujua hapa nilipo nimefikaje....!sisi vikapuku tunataka kuwazidi kete nyie wakongwe
Nakusemea kwa Ngabu[emoji35]Kama vile kuwa demu wa ODM....
Nikabidhi mchuchu huo ili nawe uwe maarufu........ acha kubanabana!!!
Ngabu ndio Nyani Ngabu?Nakusemea kwa Ngabu[emoji35]
na mimi nitakuwa tu...Wajua Vijana wanashida esp ikiwa hutaki kujua hapa nilipo nimefikaje....!
Dah.. chief ile ni pereteperete tu kama hii tu[emoji4]Kuna heading moja inaitwa makapuku sijui nini nini....., nimekua nikiiona ikikua na kuchangiwa sana na hawa wageni wa ID hapa jf. Ebu ngoja leo nikitoka shambani nitaifungua nione kama inafanana na hoja ya mleta uzi.
hahaahaaaa.....[emoji13]
Mi na Nyani Ngabu huwa tunashea vizuri.Nakusemea kwa Ngabu[emoji35]
Yap...Ngabu ndio Nyani Ngabu?
siyo nyapu kweli?Kiruuu kiru kiruuu...
Hua mna share nini kwa mfano?
Ndio anijuze nijuesiyo nyapu kweli?
tatizo wewe ndio unatafuta umaarufu wa kitoto, Nyapu ndo lugha gani sasa?siyo nyapu kweli?
tuendelee kulazimisha, mi ni new member na kiukweli sipendi kuitwa kapuku
mbona quote yangu haikuhusu mkuu...ama?tatizo wewe ndio unatafuta umaarufu wa kitoto, Nyapu ndo lugha gani sasa?
Ila asavali wameunda Kundi Lao upuuzi umepungua sana[emoji36] [emoji36] [emoji36] [emoji36]Tatizo vijana waliojiunga hivi karibuni hawana adabu kwa wakubwa zao.....yale mambo na matukio yao wanayoyafanya huko wakiwa vichochoroni na watoto wenzao wanataka kuyaleta hapa....hawajui kuwa hapa ni kuna mjumuiko wa watu mbali mbali wakiwamo pia wazee wao.........
Haijalishi wewe ni mgeni au ni mwenyeji bali unachotakiwa ni kuwa na heshima na watu wa humu na kuepukana na lugha chafu.....hakika utajisikia kama upo nyumbani.....
We kapuku ama vepeee
Mambo yasiyokuhusu achana nayo, kama hupendi kuitwa kapuku kwa nini unawafuatilia ?mbona quote yangu haikuhusu mkuu...ama?
Mkuu mimi si mkongwe hapa.Hongera kwa kukaa darasani sana...
Atakuwa kapukaMambo yasiyokuhusu achana nayo, kama hupendi kuitwa kapuku kwa nini unawafuatilia ?