Aliyekuwa askofu Konde aondolewa wakfu. Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu pia. Sasa atabakia kuwa muumini wa kawaida

Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu ila ameruhusiwa kuvitumia akihamia au kuanzisha kanisa jingine kwani vyote hivyo ni mali ya bwana.​

 
Kila mtu anautaratibu wake kwenye maisha hatufanani
 
Achana na hadithi za kitaahira za kwenye quran na biblia. Mungu hayupo.

Dini ni taasisi za kitapeli, mungu hayupo.
 

Fimbo, msalaba na pete yake vyaondolewa wakfu ila ameruhusiwa kuvitumia akihamia au kuanzisha kanisa jingine kwani vyote hivyo ni mali ya bwana.​

Huko kwingine atakuwa Askofu bila uchaguzi? Anahamia navyo huko kwani kachaguliwa kuwa Askofu huko?
Hata Wakimchagua kanisa litakuwa na nembo zake kwenye mavazi nk huwezi kutumia nembo za KKKT sheria za hatimiliki haziruhusu.Inabidi atafute vyake sio hivyo vya KKKT
 
Mkuu kufanikiwa kwa kupata wafuasi ama kupata Mali nyingi hakuna uhusiano na kuupata uzima wa milele.

Mungu ametuacha huru hapa Duniani na uchaguzi wetu.
Unaweza ukawa maskin duniani na ukaenda motoni umaskin sio kipimo Cha uadilifu
 
N
Ningekuwa mimi ningeviuza au luwagawia watoto yatima ili fedha zitakazopatika ziwasaidie
 
Wewe mwenye elimu kubwa nionyeshe mungu yuko wapi ama umewahi kumuona wapi.

Usiniletee hadithi za kitaahira za kwenye quran na biblia.
Jifunze kuheshimu watu wanachoamin hata kama wewe uami hujashikiwa fimbo umin kama Mungu yupo au hayupo au kwanin unaumia kwa watu wengine kuamin Mungu yupo na Tanzania Kuna uhuru huo

Huamin Mungu hayupo lakin uko bize kwenye nyuzi zinazohusu kanisa ambalo linaamin Mungu yupo
Live your life
 
natanguliza samahani, naomba mnipe jina la askofu KKKT wa kinyakyusa AMBAYE HAJA-CREATE MIGORORO PALE ALIPO, AU ALIPOKUWA
kwakuangalia majina yao aliyeondolewa na aliyewekwa wote wanyakyusa
 
Jamaa amekomaa hataki kuachia ulaji wa madhabahuni
 
Mungu hayupo ?🤔

unadhani kila kitu unachokiona ulimwenguni hakuna controller?
 
Aombe MSAMAHA aache kiburi cha Uzima!
 
ugomvi wa nini? Mbona karahisishwa kuanzisha huduma yake. Huu mtifuano kwake una faida kubwa
 
Ni nini wameamua kumdhihaki hivi.

Wameshindwa kumstahi hata kidogo mpaka wanamdhalilisha hivi.

Hivi vitu unaweza ona ni kawaida ila vinaumiza moyo.

Wao wana uhakika upi kuwa ni watumishi halali wa Bwana.
Ukitaka kulielewa hili vizuri ni kama Magufuli alivyomuondowa CAG Profesa Assad wakati hakuwa na mamlaka hayo kikatiba.

Hivyo basi Askofu wa mnyororo akishawekwa wakfu hakuna mwenye uwezo wa kumvuwa huo Uaskofu hilo halipo.

Kinachowezekana ni kumvuwa tu madaraka ya Kiaskofu kwenye dayosisi na mfano mzuri ni Askofu Mokiwa wa Anglican alivuliwa madaraka tu lakini bado ni Akofu.

Huwezi kumvuwa Jaji title yake, huwezi kumvuwa mwalimu tittle yake, kinachoendelea Konde ni bangi tu kuzidi kutuamsha kwamba dini ni biashara na hii ni vita ya kimaslahi.
 
natanguliza samahani, naomba mnipe jina la askofu KKKT wa kinyakyusa AMBAYE HAJA-CREATE MIGORORO PALE ALIPO, AU ALIPOKUWA
D ah ni kama kweli hivi....maana mgogoro wa konde ka create Malasusa halafu.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…