Si unajua raisi wao ni kutoka kwa kabila linaloota pesa nae kawaambukiza maaskofu wenzake,
Huyo rais was amekaa miaka mingapi kiasi cha kuwazoeza kulamba asali? Watu wenye mawazo kama yako ya kikabila wanatia fedheha sana!Si unajua raisi wao ni kutoka kwa kabila linaloota pesa nae kawaambukiza maaskofu wenzake, wote ni wachovya asali
Nadhan kasema hayupo kwenye diniMungu hayupo halafu kila saa unafuatilia taasisi zake [emoji1787]
huku kwetu tuna redio inaitwa upendo hapa pwani tu haipatikani inalazimu tusikilize redio ya wapo.Mwingira aliitangulia KKKT kuanzisha benki, Tv, Kilimo na Ufugaji Katavi, Sacoss, mgodi Arusha nk. Fernandes pia aliitangulia Pentecost kuanzisha Tv, Gamanywa naye akatangulia kuanzisha redio na gazeti, wapentekoste wakamzulia ugomvi kwamba redio ni yao, kumbe hawakujuwa redio siyo mitambo ambayo ndiyo ilikuwa yao, huku Gamanywa akimiliki leseni na masafa, ndiyo wakaja kujuwa kwamba kumbe redio ni leseni na masafa, siyo mitambo na news room.
Vyote ulivyouliza vinamajibu ila kujibu mpumbavu ni kuipoteza mudaKKK (T) inachekesha sana hapa duniani.
Maswali wasiyoweza kujibu:
1. Wakfu huwa ni wa binadamu au MUNGU?
2. Kwanini Kanisa lina madeni yasiyolipika kama ya HIPC?
3. Kwanini Maaskofu hawawezi kuhamishwa Dayosisi? (Wako autonomous)
4. Kwanini Watumishi wanakosaga mishahara wakati fulani na mara nyingi?
5. Kwanini Maaskofu wengine wana muda maalum wa kutumika na wengine wanakaa hadi kustaafu kwa Kanisa hilo hilo moja?
6. Kama Kanisa limewekeza kwenye elimu kuanzia shule za awali hadi vyuo vikuu kwanini watoto wa watumishi wanafukuzwa shule kwa kukosa ada? Utumishi wa wazazi wao hautoshi kuwa dhamana ya kusoma bila ada? (kwanini wasipewe scholarship?)
7. Kama Kanisa limewekeza kwenye afya kuanzia afya ya msingi hadi ya umma (Primary to Public Health) kwa maana ya zahanati, vituo vya afya, hospitali, hospitali teule, hospitali za rufaa, hospitali za umahiri (consultant hospitals) kwanini watumishi na familia zao wafe kwa kukosa ela za medical evacuation kwenda ughaibuni? Kwanini wanakuwa ombaomba kwa ndugu, jamaa, marafiki, majirani, waumini ndiyo wawachangie?
8. Kwanini watumishi wanaoondolewa wakfu wakienda wakaanzisha Makanisa yao au Huduma zao wanafanikiwa sana? Wakfu huwa ni wa binadamu au MUNGU? Angalia Mwingira alikuwa Mwinjilisti wa KKKT, angalia Fernandes alikuwa Mchungaji wa Pentecost, angalia Moses Kulola alitimuliwa TAG akaanzisha EAGT, Gamanywa aliondoka Pentecost nk nk.
9. Kwanini asilimia 90 ya watumishi kwenye Makanisa haya ya Kimagharibi wanafanikiwa kiuchumi nje ya mfumo wanaouhubiri? Wakianzisha na kusimama kwenye Makanisa yao au Huduma zao ndipo wanapopata mafanikio makubwa na kuwa Mamilionea. Mwingira aliitangulia KKKT kuanzisha benki, Tv, Kilimo na Ufugaji Katavi, Sacoss, mgodi Arusha nk. Fernandes pia aliitangulia Pentecost kuanzisha Tv, Gamanywa naye aliitangulia Pentecost kuanzisha media..
10. Kwanini watumishi wanaotumika kwenye vituo vya Dayosisi (siyo Dayosisi kwenyewe) baadhi yao wana ugomvi wa sadaka na waumini?
11. Kwanini KKKT, Moravian (version zote mbili) na Anglikana Mchungaji au Askofu anaweza kupigwa na waumini au kufukuzwa?
Hapo juu namba 4, 6, 7, 9 na 10 wahanga wake ni watumishi walio chini kwenye vituo vya Dayosisi, siyo walio makao makuu ya Dayosisi.
Ni wa makete huyu mwaikali?Ngoja aende Makete, watu watadondoka kama kumbikumbi!
Hakuna cha wakfu wala bibi yake!
Wewe utakuwa juha kabisa unapojiita mwanasheria wewe unajihisi upo mwenyewe? Nahakika utakuwa unajitolea somewhere ndo huwa mnambwbwe sanaWewe mburula, hizo ni taarifa zinapatikana kwenye public domains. Wengine sisi ni wanasheria tumehusika kwenye cases nyingi ya taasisi mbalimbali zikiwemo za dini hivyo tunajua.
Una akili ndogo sio rahisi kuelewa mambo mengi kwa wakati mmoja.
Kaanzishe na wewe kanisa lako ujue siri ya urembo sio kutuuliza sisi.Mwingira aliitangulia KKKT kuanzisha benki, Tv, Kilimo na Ufugaji Katavi, Sacoss, mgodi Arusha nk. Fernandes pia aliitangulia Pentecost kuanzisha Tv, Gamanywa naye akatangulia kuanzisha redio na gazeti, wapentekoste wakamzulia ugomvi kwamba redio ni yao, kumbe hawakujuwa redio siyo mitambo ambayo ndiyo ilikuwa yao, huku Gamanywa akimiliki leseni na masafa, ndiyo wakaja kujuwa kwamba kumbe redio ni leseni na masafa, siyo mitambo na news room.
Kkkt haina sheria ya kukubana au kukulazimisha ubaki hapo, hupo free kusali unako taka ukawe na amani.......huku kwetu tuna redio inaitwa upendo hapa pwani tu haipatikani inalazimu tusikilize redio ya wapo.
kkkt mna nini lakini. nani kawaondolea ROHO MTAKATIFU WA MUNGU ?
namtamani hata dada yangu aliyeamua kusali kwa lazaro.
V8 jeWamefikia hatua hiyo baada ya Dk. Mwaikali kugoma kuvirejesha ili vitumike kwa mrithi wake kwa mujibu wa taratibu za kanisa hilo.
Ulimsikia wapi Roho Mtakatifu anasikiliza redio?huku kwetu tuna redio inaitwa upendo hapa pwani tu haipatikani inalazimu tusikilize redio ya wapo.
kkkt mna nini lakini. nani kawaondolea ROHO MTAKATIFU WA MUNGU ?
namtamani hata dada yangu aliyeamua kusali kwa lazaro.
MbeyaSamahan kidogo.Hii Konde ipo mkoa gani kwanza?
Tunachanganyana tu kwa sababu ya ujinga wetu.Mtu anakuwa mchungaji kwa sababu anachunga watu,akiacha kuchunga/kjsimamia kundi la watu mfano akawa mfanyabiashara anakuwa siyo mchungaji tena.Ukitaka kulielewa hili vizuri ni kama Magufuli alivyomuondowa CAG Profesa Assad wakati hakuwa na mamlaka hayo kikatiba.
Hivyo basi Askofu wa mnyororo akishawekwa wakfu hakuna mwenye uwezo wa kumvuwa huo Uaskofu hilo halipo.
Kinachowezekana ni kumvuwa tu madaraka ya Kiaskofu kwenye dayosisi na mfano mzuri ni Askofu Mokiwa wa Anglican alivuliwa madaraka tu lakini bado ni Akofu.
Huwezi kumvuwa Jaji title yake, huwezi kumvuwa mwalimu tittle yake, kinachoendelea Konde ni bangi tu kuzidi kutuamsha kwamba dini ni biashara na hii ni vita ya kimaslahi.
Tofauti ni kwamba biashara ya dini inalipa haina hasara.Dini ni biashara kama biashara nyingine tu
Hhahahah !! Kabisa kaka!Tofauti ni kwamba biashara ya dini inalipa haina hasara.
Wewe kazi yako ni kuwajaza hofu kondoo mazoba kuhusu mbinguni wakati wewe mwenyewe hujawahi kufika mbinguni na hujui hatma yako.
Jibu hoja sio kuita watu shetaniWe shetani mfuga majini kaa kimya
Mikwara Tu hiyo hakuna chochote huko MaketeNgoja aende Makete, watu watadondoka kama kumbikumbi!
Hakuna cha wakfu wala bibi yake!